BREAKING

Thursday 6 August 2015

RAIS KIKWETE APOKEA KOMBE LA TIMU YA AZAM FC IKULU JIJINI DAR ES SALAAM, AWAPA CHANGAMOTO WASIBWETEKE NA UBINGWA HUO


Rais Kikwete akifurahia kinywaji na wachezaji katika hafla fupi ya kukabidhi kombe la Kagame



 Rais Kikwete akikabidhiwa Kombe na Nahodha msaidizi Himid Mao


 Rais Kikwete akikabidhiwa Kombe na Nahodha msaidizi Himid Mao


Rais Kikwete akiwa ameshikilia Kombe alilokabidhiwa na wachezaji wa Azam FC


 Rais Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na wachezaji wa Azam FC



 

 

 Mwenyekiti wa klabu ya soka ya Azam FC Said Mohamed akimwelezea Rais Kikwete jinsi timu hiyo ilivyopambana na kutwaa ubingwa wa kombe la Kagame.

No comments:

Post a Comment

 
Copyright © 2016 Shamakala
Designed by Switch International | SHAMAKALA 360
    Twitter Facebook Google Plus Vimeo Videosmall Flickr YouTube