BREAKING

Friday 14 August 2015

LOWASA AWASILI MBEYA WANANCHI WAJITOKEZA

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo, Mh. Edward Lowassa akiwapumbia maelfu ya wakazi wa Jiji la Mbeya, waliofurika kwa wingi kwenye Uwanja wa Rwanda Nzovwe, Ilomba leo Agosti 14, 2015. Mh. Lowassa na Mgombea mwenza wake Dkt. Juma Haji Duni, walikuwa jijini humo kwa ajili ya zoezi la kutambulishwa kwa wananchi.
Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini, Mh. Joseph Mbilinyi "Sugu" akimueleza jambo Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo, Mh. Edward Lowassa, wakati akiwahutubia wananchi wa Jiji la Mbeya.

Umati wa wananchi wa Jiji la Mbeya ukiwa umefurika kwa wingi kwenye Uwanja wa Rwanda Nzovwe, Ilomba Kwa ajili ya kumsikiliza Mgombea wa Urais kupitia Chadema Edward Lowassa leo Agosti 14, 2015.

No comments:

Post a Comment

 
Copyright © 2016 Shamakala
Designed by Switch International | SHAMAKALA 360
    Twitter Facebook Google Plus Vimeo Videosmall Flickr YouTube