BREAKING

Tuesday 4 August 2015

NCHI ZA KENYA,UGANDA ETHIOPIA NA TANZANIA ZAAZIMISHA SIKU YA UVUMBUZI WA FUVU LA KICHWA LA BINADAMU WA KWANZA ZINJANTHROPUS LILILOGUNDULIKA KATIKA BONDE GORGE OLDUVAI ZAIDI YA MIAKA 50 NCHINI TANZANIA.


Team shiriki iliyoanzimisha siku ya uvumbuzi wa fuvu la kichwa la binadamu wa kwanza Zinjanthropus,kutoka nchi za Tanzania, Kenya, Ethiopia na Uganda wakiwa katika picha ya pamoja katika Jengo la Makumbusho ya Taifa Dar es Salaam.

 Fuvu la ZINJANTHROPUS,liliogunduliwa na Dk.Louis Leakey na mkewe Dk Mary Leakey kutoka Uingereza mwaka 1957 Tanzania huko Olduvai gorge



 Agnes Gidna ambaye ni mhifadhi wa makumbusho ya Taifa kitengo cha Paleontology akiwaelezea waandishi wa habari tofauti ya fuvu la ZINJANTHROPUS na lile la JAMII HOMOHABILIS, yaliyopatikana katika bonde la Gerge Olduvai


                                          Fuvu  la JAMII YA HOMOHABILIS

 Mwandishi wa Channel Ten  Sangu Joseph akipata maelezo kutoka  kwa  mhifadhi Mkuu wa Makumbusho kitengo cha Paleontology

Dk.Charles Saanane,ambaye ni mjumbe wa kamati ya East Africa Association,akielezea kwa waandishi wa habari hawapo Pichani utofauti wa mafuvu ya JAMII YA HOMOHABILIS na ZINJANTHROPUS


                                          Dk.Charles Saanane,

No comments:

Post a Comment

 
Copyright © 2016 Shamakala
Designed by Switch International | SHAMAKALA 360
    Twitter Facebook Google Plus Vimeo Videosmall Flickr YouTube