BREAKING
ROSE MHANDO :MSAMA NI BABA KWANGU ACHENI KUNIGOMBISHA NAYE.   UPANDIKIZAJI WA MENO BANDIA KWA NJIA YA KISASA MUHIMBILI MLOGANZILA 45 KUNUFAIKA NA HUDUMA    UTEKAJI WA WATOTO MKUU WA MKOA WA MBEYA JUMA HOMERA AWATAKA WANAFUNZI WA HOLY LAND PRE- & PRIMARY SCHOOL KUKATAA LIFTI   MSAMA ANG'AKA WAIMBAJI WA IN JILI KUPOTOKA MAADILI   DCEA YAFANIKIWA OPERESHENI DAWA ZA KULEVYA YAKAMATA JAHAZI DAWA ZA KULEVYA   NAIBU WAZIRI MKUU AKARIPIA UZEMBE TANESCO   MHE. RAIS DKT.SAMIA SULUHU HASSAN AFANYA MAZUNGUMZA NA RAIS WA CHINA MHE. XI JINPING    MHE. RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKUTANA NA WATANZANIA WANAOISHI CHINA..   RAIS SAMIA NCHINI KENYA-ASHIRIKI MKUTANO WA WAKUU WA NCHI   RAIS SAMIA ASHIRIKI MKUTANO WA WAKUU WA NCHI ZA AFRIKA-KENYA    Blogger Tips and Tricks & Blogger Templates

Saturday, April 05, 2025

Kimataifa

 


UMRI WA KUJIUNGA NA JESHI UKRAINE WAPUNGUZWA

Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky ametia saini kuwa sheria mswada wa kupunguza umri wa wanaosajiliwa kuingia jeshini kwa miaka miwili kutoka 27 hadi 25.

Kyiv imekabiliwa na hasara kubwa vitani baada ya miaka miwili ya vita, ambapo Urusi imenufaika kutokana na kuwa na wanajeshi wengi.

Hatua hiyo itairuhusu Ukraine kusajili watu wengi ili kuwa na wanajeshi wengi wa akiba, baada ya idadi ya waliojitolea kupungua.

Bw Zelensky alisema mnamo Desemba kwamba wanajeshi 500,000 zaidi walihitajika.

No comments:

Post a Comment

 
Copyright © 2016 Shamakala
Designed by Switch International | SHAMAKALA 360
    Twitter Facebook Google Plus Vimeo Videosmall Flickr YouTube