BREAKING

Wednesday 19 August 2015

BODI YA LIGI YATANGAZA RATIBA YA LIGI KUU YA TANZANIA BARA SIMBA NA YANGA USO KWA USO SEPTEMBER 26

Mtendaji Mkuu wa Bodi ya Ligi Kuu ya Tanzania Bara Boniface Mgoyo Wambura akizungumza na waandishi wa habari,kushoto kwake ni Afisa Habari wa Shirikisho la soka Tanzania TFF Baraka Kizuguto.

Wababe wa soka wenye upinzani mkubwa wa soka nchini Tanzania Timu ya Simba na Yanga zinatarajiwa kukutana kwenye Ligi Kuu ya Tanzania Bara September 26, mwaka huu.

Boniface Wambura ni Mtendaji Mkuu wa bodi ya Ligi Kuu, ametaja ratiba lakini mvuto wa ratiba hiyo umekuwa kwa timu hizo mbili ambazo zinaupinzani mkubwa wa kisoka kuanzia kwa mashabiki na soka Uwanjani.

No comments:

Post a Comment

 
Copyright © 2016 Shamakala
Designed by Switch International | SHAMAKALA 360
    Twitter Facebook Google Plus Vimeo Videosmall Flickr YouTube