BREAKING
ROSE MHANDO :MSAMA NI BABA KWANGU ACHENI KUNIGOMBISHA NAYE.   UPANDIKIZAJI WA MENO BANDIA KWA NJIA YA KISASA MUHIMBILI MLOGANZILA 45 KUNUFAIKA NA HUDUMA    UTEKAJI WA WATOTO MKUU WA MKOA WA MBEYA JUMA HOMERA AWATAKA WANAFUNZI WA HOLY LAND PRE- & PRIMARY SCHOOL KUKATAA LIFTI   MSAMA ANG'AKA WAIMBAJI WA IN JILI KUPOTOKA MAADILI   DCEA YAFANIKIWA OPERESHENI DAWA ZA KULEVYA YAKAMATA JAHAZI DAWA ZA KULEVYA   NAIBU WAZIRI MKUU AKARIPIA UZEMBE TANESCO   MHE. RAIS DKT.SAMIA SULUHU HASSAN AFANYA MAZUNGUMZA NA RAIS WA CHINA MHE. XI JINPING    MHE. RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKUTANA NA WATANZANIA WANAOISHI CHINA..   RAIS SAMIA NCHINI KENYA-ASHIRIKI MKUTANO WA WAKUU WA NCHI   RAIS SAMIA ASHIRIKI MKUTANO WA WAKUU WA NCHI ZA AFRIKA-KENYA    Blogger Tips and Tricks & Blogger Templates

Monday, April 07, 2025

Wednesday, 12 August 2015

KASEJA, MANYIKA WAZUMGUMZIA MAENDELEO YA SOKA, WASEMA TANZANIA NI MAARUFU IWAPO ITAWEKEZA MICHEZONI

    JUMA KASEJA akifafanua jambo katika mahojiano.

JUMA KASEJA akiwa anahojiwa


Makipa maarufu nchini waliowahi kutamba katika soka kwenye vilabu vya Simba na  Yanga pamoja na timu ya taifa Juma Kaseja pamoja na Peter Manyika wametoa wito kwa wadau soka nchini kuanzisha vituo kwa ajili ya kuzalisha wachezaji chipukizi hususani nafasi za makipa.

Wakizungumza kwa nyakati tofauti mlinda mlango wa zamani Peter Manyika amesema kwa sasa amelenga kuibua na kuendeleza vipaji vya makipa ambao watatumika katika timu mbalimbali

Aidha Manyika ameongeza kuwa kituo chake kinajumla ya wanafunzi 36 ambao wanapata mafunzo huku akitoa nafasi kwa walinda milango wengine kujiunga na kituo hiko, ambapo amesema ni vyema wachezaji wa nafasi za walinda milango hao wakapatiwa mafunzo mazuri ili waweze kulisaidia taifa.

Kwa upande wake Juma kaseja ambae alikua hodari wa kuokoa mikwaju ya penati akiichezea timu ya Taifa Taifa Stars, Klabu ya soka ya Simba na Yanga mpaka kuwa maarufu na kupewa jina la Tanzania One amesemna Serikali pamoja na taasisi nyingne zinapaswa kuandaa miundo mbinu itakayoibua vipaji vipya, ambapo amewaomba wadau mbalimbali kumuunga mkono Manyika katika programu yake ya kuwaendelea vijna wenye vipaji.

No comments:

Post a Comment

 
Copyright © 2016 Shamakala
Designed by Switch International | SHAMAKALA 360
    Twitter Facebook Google Plus Vimeo Videosmall Flickr YouTube