BREAKING

Monday 3 August 2015

TIMU YA TAIFA YA NGUMI YAREJEA NA MEDANI TATU ZA DHAHABU NA FEDHA MASHINDANO YA EAST AFRICA CITIES CLUB CHAMPIONSHIP.

 Katibu Mkuu wa BFT Makore Mashaga Makao Makuu ya Chama cha Ngumi,Uwanja wa Taifa
 wachezaji wa timu ya Taifa ya Ngumi kutoka kushoto Gelus Rogasian,Ismail Galiatano,Katibu Mkuu wa BFT Makore Mashaga,akifuatiwa na Kocha mkuu wa timu ya taifa Said Omary,pamoja na Nahodha wa timu hiyo Said Hoffu na wa mwisho ni Hamad Furahisha.
 Wachezaji wa Ngumi wakionyesha vyeti na Medali walizoshinda katika mashindano ya East Africa Cities Club Championship
 Mashujaa waliotwaa Medali ya fedha na Dhahabu.
 Katibu Mkuu wa BFT Makore Mashaga akifafanua jambo baada ya kuwapokea wachezaji wa timu ya taifa ya Ngumi
 Nahodha wa timu ya taifa ya Ngumi Said Hoffu akizungumza juu ya mashindano hayo
 Said Hoffu na kombe la ubingwa wao

No comments:

Post a Comment

 
Copyright © 2016 Shamakala
Designed by Switch International | SHAMAKALA 360
    Twitter Facebook Google Plus Vimeo Videosmall Flickr YouTube