BREAKING

Thursday 20 August 2015

OTAMEND KUJIUNGA NA MANCHSTER CITY

http://images.football365.com/15/06/800x600/Nicolas-Otamendi_3314055.jpg

Manchester City wamemsajili mlinzi wa kimataifa wa Argentina Nicolas Otamendi kutoka klabu ya Valencia kwa mkataba wa miaka mitano.

 Mchezaji huyo mwenye miaka 27 alitajwa katika kikosi bora cha La Liga msimu wa 2014-15 na aliisaidia nchi yake kufika fainali ya Kopa Amerika mwaka huu.

Akizungumza mudfa mfupi baada ya kunayiwa vipimo vya afya  otamendi amesema kuwaa ndani ya klabu hiyo ambao nui matajiri pekee katika jiji la manchster kunamfanya ajione kuwa ni miongoni mwa  wachezaji  muhimu katika ramani ya soka 

kwa upande wake kocha wa kikosi mancheter  City Manuel Pellegrini amesesema kwa sasa ana imarisha safu yake ya ulinzi ili kukaba;liana na wapinzani wake katika mbio za kuwania ligi kuu uingetreza msiomu huu

Kikosi hicho cha city wiki iliyopita kilishushia kikchapo kikali cha bao 3-0 matajiri wa jiji la london chelsea thew blues

No comments:

Post a Comment

 
Copyright © 2016 Shamakala
Designed by Switch International | SHAMAKALA 360
    Twitter Facebook Google Plus Vimeo Videosmall Flickr YouTube