BREAKING

Michezo


 

ARSENAL KUENDELEZA MOTO WAKE LEO?

  • Arsenal tangu ilipopoteza kwa Fulham mabao 2-1, Desemba 31 mwaka jana, haijapoteza tena kwenye ligi na imeibuka na ushindi kwenye mechi saba mfululizo, huku ikigawa dozi ya bao nyingi na kukimbiza mashabiki wa timu wenyeji mapema viwanjani.

Usiku wa leo watakuwa wakiwakatibisha Vibonde Luton Town wenye alama 22, katika Mchezo mhimu katika Dimba la Emirates  

No comments:

Post a Comment

 
Copyright © 2016 Shamakala
Designed by Switch International | SHAMAKALA 360
    Twitter Facebook Google Plus Vimeo Videosmall Flickr YouTube