BREAKING

Thursday, 13 February 2025

UTEKAJI WA WATOTO MKUU WA MKOA WA MBEYA JUMA HOMERA AWATAKA WANAFUNZI WA HOLY LAND PRE- & PRIMARY SCHOOL KUKATAA LIFTI

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya akiwasili katika viunga vya wa Shuele ya HolyLand Pre-&Primary School ikiwa ni ziara ya Maendeleo ya Elimu, Kulia ni Mmliki wa Shule hiyo Lawena Nsonda (Baba Mzazi EeBaba)

 



Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Juma Homera akisaini kitabu cha wageni baada ya kutembelea, Shule ya Holy Land Pre-and Primary School iliyopo Wilayani Chunya, kushoto ni Mmiliki wa Shule hiyo Lawena Nsonda (Baba Mzazi)


Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Juma Homera akiteta jambo na Mmiliki wa Shuele ya HolyLand Pre-&Primary School Lawena Nsonda Baba Mzazi.


Baadhi ya Wanafunzi wa wa Shuele ya HolyLand Pre-&Primary School wakimlaki Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Juma Homera



 

No comments:

Post a Comment

 
Copyright © 2016 Shamakala
Designed by Switch International | SHAMAKALA 360
    Twitter Facebook Google Plus Vimeo Videosmall Flickr YouTube