BREAKING
ROSE MHANDO :MSAMA NI BABA KWANGU ACHENI KUNIGOMBISHA NAYE.   UPANDIKIZAJI WA MENO BANDIA KWA NJIA YA KISASA MUHIMBILI MLOGANZILA 45 KUNUFAIKA NA HUDUMA    UTEKAJI WA WATOTO MKUU WA MKOA WA MBEYA JUMA HOMERA AWATAKA WANAFUNZI WA HOLY LAND PRE- & PRIMARY SCHOOL KUKATAA LIFTI   MSAMA ANG'AKA WAIMBAJI WA IN JILI KUPOTOKA MAADILI   DCEA YAFANIKIWA OPERESHENI DAWA ZA KULEVYA YAKAMATA JAHAZI DAWA ZA KULEVYA   NAIBU WAZIRI MKUU AKARIPIA UZEMBE TANESCO   MHE. RAIS DKT.SAMIA SULUHU HASSAN AFANYA MAZUNGUMZA NA RAIS WA CHINA MHE. XI JINPING    MHE. RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKUTANA NA WATANZANIA WANAOISHI CHINA..   RAIS SAMIA NCHINI KENYA-ASHIRIKI MKUTANO WA WAKUU WA NCHI   RAIS SAMIA ASHIRIKI MKUTANO WA WAKUU WA NCHI ZA AFRIKA-KENYA    Blogger Tips and Tricks & Blogger Templates

Tuesday, April 08, 2025

Monday, 30 January 2017

MABINGWA WA AFRIKA KLABU YA MAMELODI SUNDOWNS WATUA NCHINI, KUUMANA NA SIMBA PAMOJA NA AZAM FC




Klabu Mabingwa  wa Afrika, Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini wametua jijini Dar es Salaam, kwa ziara ya michezo miwili ya kirafiki dhidi ya vigogo wa Tanzania, Simba na  Azam FC .

Timu hiyo imewasili ikiwa na msafara wa takribani watu 50, ambapo 25 miongoni mwao ni wachezaji ambao watasakata kandanda na timu hizo za Simba na Azam FC.

Kocha Mkuu wa timu hiyo Pitso Mosimane, pamoja na Nahodha Hlompho Kekana,wamesema ujio wao ni kwa ajili ya kujiandaa na msimu wa Ligi Kuu ya Afrika Kusini inayotarajiwa kuanza kutimua vumbi hivi karibuni.

Wamesema kuwa wanaamini timu hizo zinaushindani mkubwa kisoka hivyo watapata mazoezi ya kutosha katika micvhezo hiyo miwili.

Mchezo wa kwanza utachezwa Februari 1 na wa pili utakuwa Februari 3 mwaka huu katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment

 
Copyright © 2016 Shamakala
Designed by Switch International | SHAMAKALA 360
    Twitter Facebook Google Plus Vimeo Videosmall Flickr YouTube