BREAKING
ROSE MHANDO :MSAMA NI BABA KWANGU ACHENI KUNIGOMBISHA NAYE.   UPANDIKIZAJI WA MENO BANDIA KWA NJIA YA KISASA MUHIMBILI MLOGANZILA 45 KUNUFAIKA NA HUDUMA    UTEKAJI WA WATOTO MKUU WA MKOA WA MBEYA JUMA HOMERA AWATAKA WANAFUNZI WA HOLY LAND PRE- & PRIMARY SCHOOL KUKATAA LIFTI   MSAMA ANG'AKA WAIMBAJI WA IN JILI KUPOTOKA MAADILI   DCEA YAFANIKIWA OPERESHENI DAWA ZA KULEVYA YAKAMATA JAHAZI DAWA ZA KULEVYA   NAIBU WAZIRI MKUU AKARIPIA UZEMBE TANESCO   MHE. RAIS DKT.SAMIA SULUHU HASSAN AFANYA MAZUNGUMZA NA RAIS WA CHINA MHE. XI JINPING    MHE. RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKUTANA NA WATANZANIA WANAOISHI CHINA..   RAIS SAMIA NCHINI KENYA-ASHIRIKI MKUTANO WA WAKUU WA NCHI   RAIS SAMIA ASHIRIKI MKUTANO WA WAKUU WA NCHI ZA AFRIKA-KENYA    Blogger Tips and Tricks & Blogger Templates

Monday, April 07, 2025

Monday, 9 January 2017

NI VITA NA VISASI NUSU FAINALI YA MAPINDUZI,ZANZIBAR KATI YA SIMBA NA YANGA....


Mavugo

MAPINDUZI


Na Mwandishi wetu Scolastica -Zanzibar

Ni simba na Yanga Jumanne zitachuana katika hatua ya nusu fainali ya michuano ya kombe la Mapinduzi, huko Visiwani Zanzibar kwenye Dimba la Aman.

Watani hao wa jadi watamenyana huk wakiwa na kumbukumbu ya sare ya kufungana mabao 1-1, katika mchezo wa Ligi Kuu Bara mzunguko wa kwanza.


simba imefika katika hatua hiyo baada ya kuifunga  Jang’ombe Boys, mabao 2-0 huku shujaa akiwana ni Mrundi Laudit Mavugo aliyefunga mabao yote.

Mchezo huo utafanyika Jumanne Saa 2:15 usiku Uwanja wa Amaan, Zanzibar katika Nusu Fainali ya Kombe la Mapinduzi visiwani Zanzibar timu hizo zinakutana kutokana na Simba kuongoza katika kundi lake la  A kwa pointi zake 10, ikifuatiwa na Jang’ombe Boys,huku Yanga wao wakishika nafasi ya pili katika kundi lake,lililoongozwa na Azam FC.

No comments:

Post a Comment

 
Copyright © 2016 Shamakala
Designed by Switch International | SHAMAKALA 360
    Twitter Facebook Google Plus Vimeo Videosmall Flickr YouTube