BREAKING

Saturday 21 January 2017

KINANA AWASHANGAA WAPINZAI KUDAI KUIBIWA KURA KILA UCHAGUZI


Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akizungumza na makada ambao ni mawakala wa CCM katika uchaguzi mdogo wa udiwani Kata ya Kijichi, Mbagala, Dar es Salaam, alipokuwa akifunga  semina ya mawakala hao, leo Janauari 20, 2017. Uchaguzi mdogo wa Unatarajiwa kufanyika Jumapili hii nchini kote.
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akisaini kitabu cha wageni alipopita kwenye ofisi ya CCM Kata ya Kijichi akiwa njiani kenda kufunga semina ya makada ambao ni mawakala wa CCM katika uchaguzi mdogo wa udiwani Kata ya Kijichi, Mbagala, Dar es Salaam, leo Janauari 20, 2017. Kulia ni Mgombea wa Udiwani kwa tiketi ya CCM katika uchaguzi huo, Tausi Milanzi.
Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akiwsili ukumbini kwa ajili ya kufunga semina hiyo. Kulia ni Mgombea Udiwani katika kata ya Kijichi  Tausi Milanzi, Katibu wa NEC Siasa na Uhusiano wa Kimataifa Kanali Mstaafu Ngemela Lubinga na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dar es Salaam, Ramadhani Madabida.
Mawakala wa CCM katika Uchaguzi mdogo wa Udiwani Kata ya Kijichi, Mbagala Dar es Salaam, wakimshangilia, Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana alipowasili ukumbini kufunga semina yao, leo
Meneja wa kampeni za CCM za uchaguzi mdogo wa Udiwani Kata ya Kijichi, Mbagala, Dar es Salaam, akitoa maelezo, kabla ya Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana kufunga semina ya mawakala wa CCM katika uchaguzi huo leo
Mgombea wa Udiwani kwa tiketi ya CCM, katika Uchaguzi Mdogo wa Madiwani, Kata ya Kijichi, Mbagala, Dar es Salaam, Tausi Milanzi, akisalimia mawakala wa CCM waliokuwa kwenye semina maalum, kwa ajili ya uchaguzi huo
Katibu wa NEC, Siasa na Uhusiano wa Kimataifa Kanali Mstaafu Ngemela Lubinga, akisalimia viongozi na mawakala wa CCM, katika Ucaguzi mdogo wa udiwani Kata ya Kijichi
Katibu wa NEC, Siasa na Uhusiano wa Kimataifa Kanali Mstaafu Ngemela Lubinga, akisalimia viongozi na mawakala wa CCM, katika Ucaguzi mdogo wa udiwani Kata ya Kijichi
Katibu Mkuu wa CCM, akipokea kadi kutoka kwa aliyekuwa mwanachama wa Chadema Adam Hamis ambaye aliamua kuhamia CCM, wakati wa Semina ya Mawakala wa CCM katika uchaguzi mdogo wa Udiwani Kata ya Kijiji, iliyofanyika leo
Kisha Katibu Mkuu akampa Kapelo rasmi ya CCM
Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Temeke Yahya Sikunjema akimkaribisha Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dar es Salaam, ili amkaribishe Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana kufunga semina hiyo
Mwenyekiti wa CCM mkkoa wa Dar es Salaam, Ramadhani Madabida akifafanua jambo kabla ya kumkaribisha Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana kufunga semina hiyo
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akizungumza na makada ambao ni mawakala wa CCM katika uchaguzi mdogo wa udiwani Kata ya Kijichi, Mbagala, Dar es Salaam, alipokuwa akifunga  semina ya mawakala hao, leo Janauari 20, 2017. Uchaguzi mdogo wa Unatarajiwa kufanyika Jumapili hii nchini kote

No comments:

Post a Comment

 
Copyright © 2016 Shamakala
Designed by Switch International | SHAMAKALA 360
    Twitter Facebook Google Plus Vimeo Videosmall Flickr YouTube