BREAKING
ROSE MHANDO :MSAMA NI BABA KWANGU ACHENI KUNIGOMBISHA NAYE.   UPANDIKIZAJI WA MENO BANDIA KWA NJIA YA KISASA MUHIMBILI MLOGANZILA 45 KUNUFAIKA NA HUDUMA    UTEKAJI WA WATOTO MKUU WA MKOA WA MBEYA JUMA HOMERA AWATAKA WANAFUNZI WA HOLY LAND PRE- & PRIMARY SCHOOL KUKATAA LIFTI   MSAMA ANG'AKA WAIMBAJI WA IN JILI KUPOTOKA MAADILI   DCEA YAFANIKIWA OPERESHENI DAWA ZA KULEVYA YAKAMATA JAHAZI DAWA ZA KULEVYA   NAIBU WAZIRI MKUU AKARIPIA UZEMBE TANESCO   MHE. RAIS DKT.SAMIA SULUHU HASSAN AFANYA MAZUNGUMZA NA RAIS WA CHINA MHE. XI JINPING    MHE. RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKUTANA NA WATANZANIA WANAOISHI CHINA..   RAIS SAMIA NCHINI KENYA-ASHIRIKI MKUTANO WA WAKUU WA NCHI   RAIS SAMIA ASHIRIKI MKUTANO WA WAKUU WA NCHI ZA AFRIKA-KENYA    Blogger Tips and Tricks & Blogger Templates

Wednesday, April 09, 2025

Friday, 24 July 2015

UJUMBE WA MADAKTARI BINGWA WA JUMUIYA YA WATANZANIA DMV WAWASILI BANDARI YA ZANZIBAR

Kaimu Mkurugenzi wa Benki ya Watu wa Zanzibar Ndg Seif Suleman akiwa katika bandari ya Zanzibar kuupokea Ujumbe wa Madaktari kutoka Jumuiya ya Watanzania Washington ukiwa wenyeji wa PBZ na Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa na Diaspora Zanzibar wakiwa katika bandari hiyo kuupokea kwa ajili ya kutoa huduma ya Afya kwa Wananchi wa Zanzibar katika hospitali ya Mnazi mmoja kesho, Kwa muji wa Mkurugenzi wa Idara hiyo Ndg Adila Hilal Vuai amesema utatoa huduma ya Uchunguzi wa Satatani ya Maziwa kwa Kinamama, Kisukari, Presha Meno na tiba nyengine kwa wananchi wa Zanzibar watakaofika katika hospitali hiyo kupata huduma hizo.
Kaimu Mkurugenzi wa PBZ Ndg Seif Suleiman akisalimiana na mmoja wa madaktari hao Bingwa walipowasili katika bandari ya forodhani wakitokea Dar -es- Salaam walikuwa wakitowa huduma hizo kwa Wananchi.katikati Mkurugenzi wa Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa Diaspora Ndg Adila Hilal Vuai. wakiwapokea wageni wao.
Rais wa Jumuiya ya Watanzania Washington Ndg Iddi Sandaly akizungumza na Kaimu Mkurugenzi Masoko wa Benki ya Watu wa Zanzibar (PBA) Ndg Seif Suleiman alipowasili katika bandari ya Zanzibar wakitikea Dar na Ujumbe wa Madaktari 17 watakuwa Zanzibar kwa kutoa huduma ya Tiba kwa Wananchi wa Zanzibar katika hospitali Kuu ya Mnazi Mmoja kesho asubuhi.
Madktari kutowa Washington DC,MD,VA wakiwasili katika bandari ya Zanzibar wakitokea Dar-es-Salaam baada ya kutoa huduma ya Tiba.kwa Wananchi wa Zanzibar.
Mkurugenzi wa Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa wa Diaspora Zanzibar Ndg Adila Hilal Vuai akiwa na mmoja wa Madaktari hao Dr. Hailu wakizungumza wakati alipowasili katika bandari ya Zanzibar jioni hii tayari kwa kutowa huduma ya matibabu kwa Wananchi wa Zanzibar katika hospitali Kuu ya Mnazi Mmoja kesho. wakitoka katika bandari ya Zanzibar. Madaktabi Bingwa wakifurahia mandhari ya Zanzibar wakiwa katika bandari ya Malindi Zanzibar baada ya kuwasili katika Visiwa vya Marashi ya Karafuu. Kwa hisani ya ZanziNews














Watanzania wanaoishi Washinton Bi Asha Nyanganyi akiwa na Rais wa Jumuiya ya Watanzania Washinton Ndg Iddi Sandaly.wakiwa katika bandari ya Zanzibar walipowasili leo jioni wakitokea Dar,

No comments:

Post a Comment

 
Copyright © 2016 Shamakala
Designed by Switch International | SHAMAKALA 360
    Twitter Facebook Google Plus Vimeo Videosmall Flickr YouTube