BREAKING

Wednesday 22 July 2015

MAGUFULI ASIMAMISHA SHUGHULI KWA MUDA, KAHAMA WANANCHI WAJITOKEZA KUMLAKI...

 Mgombea Urais kwa tiketi ya chama cha mapinduzi CCM, akisaini moja ya Vitabu, vya Ofisi za chama hicho kablya kuwahutubia wananchi.
 Wananchi wa Kahama wakiwa wamefurika katika Mkutano wakati alipokuwa akiwasalimia.

 Magufuli akingumza na wananchi wa Kahama.
MGOMBEA Urais kupitia chama cha Mapinduzi CCM, John Pombe Magufuli, anaendelea kujitambulisha katika Mikoa ya kanda ya Ziwa ambapo leo alikuwa katika Mkoa wa Kahama nakulakiwa na wananchi wengi.

No comments:

Post a Comment

 
Copyright © 2016 Shamakala
Designed by Switch International | SHAMAKALA 360
    Twitter Facebook Google Plus Vimeo Videosmall Flickr YouTube