BREAKING

Wednesday 23 June 2021

SPORTPESA 'WAANIKA MKEKA WAO WA LUCKY NUMBERS'

Afisa Mahusiano wa Kampuni ya SportPesa Sabrina Msuya akizungumzia Uzinduzi wa mchezo wa Lucky Numbers..uliofanyika leo katika Makao Makuu wa Ofisi za SportPesa.



Sabrina Msuya akielezea jinsi ya kucheza Mchezo wa Lucky Numbers..




Wakati Ligi Kuu ya Tanzania Bara ikielekea ukingoni wadhamini wa Vilabu vya Simba,Yanga na Namungo Kampuni ya Ubashiri ya SportPesa wamesema kwamba wataeandelea kushiriki katika kuendeleza mchezo wa soka huku ukitoa nafasi zingine  kwa mashabiki katika ubashiri michezo katika promosheni wanzozianzisha.

Sabrina Msuya ni Afisa Uhusiano na Mawasiliano  wa SportPesa amesema hayo wakati akizindua drooo inayojulikana  Lucky Numbers yaani Namba za Bahati ambayo itakuwa ikichezwa.

Amesema kuwa ili kuendelea kuwa katika wigo wa michezo wameanzisha shindano hilo la  Namba ya bahati ambayo imekuwa ichezwa Duniani  

“Tumezindua Huduma hii ikiwa na Michezo zaidi ya 160 yenye masoko zaidi ya 14 kwa jailli ya waters wetu  kuwa na wigo mpana wa kucheza.Kumbuka hizi ni droo zinazochezwa sehemu mbalimbali duniani na Matokeo yake sio ya Siri” Anasema Sabrina 


No comments:

Post a Comment

 
Copyright © 2016 Shamakala
Designed by Switch International | SHAMAKALA 360
    Twitter Facebook Google Plus Vimeo Videosmall Flickr YouTube