BREAKING

Thursday 24 June 2021

WAZIRI SIMBACHAWENE AHAIDI KUTATUA MGOGORO WA MIPAKA - DODOMA


Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mh. George Boniface Simbachawene  pamoja na Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza Meja Jenerali Suleiman Mzee wakiwa na Mbunge wa Jimbo la Dodoma Mjini Mh Anthony Mavunde katika ziara fupi ya kukagua mipaka ya Jeshi la Magereza Msalato ambayo inapakana na kata za Mbalawala,Msalato na Makutupora kwa lengo la kutatua migogoro ya ardhi ya maeneo husika.


No comments:

Post a Comment

 
Copyright © 2016 Shamakala
Designed by Switch International | SHAMAKALA 360
    Twitter Facebook Google Plus Vimeo Videosmall Flickr YouTube