BREAKING

Wednesday 30 June 2021

ENGLAND WANA JAMBO LAO EURO 2020....WAICHAPA UJERUMAN 2-0


Nyota wa England Raheem Sterling usiku wa jana alikuwa mwiba katika mchezo uliowakutanisha Engeland na Ujeruman hatua ya 16 bora ya michuano ya Euro akifunga bao dakika ya 75, katika mchezo uliofanyika kwenye dimba laWembley 

Nahodha wa EnglandHarry Kane alishindilia mwiba wa mwisho kwa kufunga bao maridadi kwa kichwa dakika ya 86 na kuzamisha kabisa jahazi la wajeruman 

No comments:

Post a Comment

 
Copyright © 2016 Shamakala
Designed by Switch International | SHAMAKALA 360
    Twitter Facebook Google Plus Vimeo Videosmall Flickr YouTube