Wednesday, 30 June 2021
ENGLAND WANA JAMBO LAO EURO 2020....WAICHAPA UJERUMAN 2-0

Nyota wa England Raheem Sterling usiku wa jana alikuwa mwiba katika mchezo uliowakutanisha Engeland na Ujeruman hatua ya 16 bora ya michuano ya Euro akifunga bao dakika ya...
09:08
EURO 2020- UKRAINE HIYOOO ! ROBO FAINALI

Michuano ya EURO 2020 imeendelea kutikisa katika hatua ya robo fainali ambapo katika mchezo wa hatua ya 16 bora Ukraine imefanikiwa kutinga hatua ya robo fainali baada...
08:59
Tuesday, 29 June 2021
MWENYEKITI WA CHAMA CHA MAPINDUZI CCMA NA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA SAMIA SULUHU HASSAN AKUTANA NA KAMATI KUU YA TAIFA -DODOMA

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akifungua Kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama cha Mapinduzi...
13:04
WAZIRI MKENDA AIPA RUNGU BODI YA WAKURUGENZI YA BODI YA KAHAWA
Waziri wa Kilimo Mhe Prof. Adolf Mkenda akisisitiza jambo wakati akizindua Bodi ya wakurugenzi wa Bodi ya Kahawa yenye makao makuu Manispaa ya Moshi Mkoani Kilimanjaro...
11:49
Mhe.RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA SAMIA SULUHU HASSAN ATUA JIJINI DODOM AKITOKEA DAR ES SALAAM.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na Baadhi ya Viongozi wa Serikali alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Dodoma leo Juni 29,2021...
11:42
RC SENDIGA APIGA MARUFUKU WANANCHI WA IRINGA KUTUPA TAKA HOVYO UKIKUTWA FAINI 50,000
Mkuu wa mkoa wa Iringa Queen Sendiga akiongea na wananchi wa manispaa ya Iringa juu ya umuhimu wa kufanya usafi wa mitaa yao na kuacha tabia ya kuharibu mazingira kwa makusudiMkuu...
08:13
Monday, 28 June 2021
MAKAMU WA RAIS DKT.PHILIPO MPANGO AZUNGUMZA NA BARAZA LA WAISLAM BAKWATA -TANGA

Makamu wa Rais Mheshimiwa Dkt Philip Isdor Mpango akizungumza na Washiriki wa mkutano mkuu wa Baraza la Waislamu Tanzania (BAKWATA)wa mwaka 2021,wakati akifungua mkutano...
07:33
Subscribe to:
Posts (Atom)