BREAKING

Friday 6 April 2018

KITAELEWEKA TU , RUFAA YA WAMBURA KAMATI YA MAADILI KUTOA MAJIBU


Taarifa kutoka TFF zinaeleza kuwa Kamati ya Maadili ya Shirikishi hilo inatarajiwa kutoa majibu ya rufaa ya aliyekuwa Makamu wa Rais, Michael Richard Wambura, dakika kadhaa zijazo kuanzia sasa.

Wambura alikata rufaa kupinga kufungiwa maisha kujihusisha na soka baada ya kudaiwa kufanya ubadhirifu wa fedha za shirikisho pamoja na makosa mengine ndani ya TFF.

Tutaendelea kukujuza kile kitakachofuata kupitia hapahapa

 

No comments:

Post a Comment

 
Copyright © 2016 Shamakala
Designed by Switch International | SHAMAKALA 360
    Twitter Facebook Google Plus Vimeo Videosmall Flickr YouTube