BREAKING

Thursday 12 April 2018

BAYERN MUNICH WATINGA NUSU FAINALI UEFA



Licha ya kulazimishwa sare ya 0-0 leo kwenye Uwanja wa Allianz Arena, Bayern Munich imesonga mbele mpaka hatua ya nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya kwa ushindi wa jumla ya mabao 2-1 dhidi Sevilla.

Katika mchezo wa kwanza uliofanyika nchini Spain, Bayern iliibuka na ushindi wa mabao 2-1 na leo mechi ya marudiano imemalizika kwa suluhu ya kutofungana.

No comments:

Post a Comment

 
Copyright © 2016 Shamakala
Designed by Switch International | SHAMAKALA 360
    Twitter Facebook Google Plus Vimeo Videosmall Flickr YouTube