BREAKING

Sunday 26 February 2017

SIMBA NI ILE ILE NA MASHABIKI NI WALE ALEEEEEEE, YAITANDIKA YANGA BAO 2-1 NA KUJICHIMBIA KILELENI MWA LIGI

 Mshambuliaji wa Simba Laudit Mavugo akitafuta njia ya kumtoka Beki wa Yanga Kelvin Yondan

Beki wa Simba Janvier Besala Bukungu akichuana vikali na kiungo wa Yanga Haruna Niyonzima.


Shuja wa Simba aliyefunga bao la Ushindi Shiza Ramadhan Kichuaya akiwa amenyanyuliwa na Menmeja wa Simba Mussa Hassan Mgosi, baada ya kufunga bao.


No comments:

Post a Comment

 
Copyright © 2016 Shamakala
Designed by Switch International | SHAMAKALA 360
    Twitter Facebook Google Plus Vimeo Videosmall Flickr YouTube