BREAKING

Friday 18 November 2016

NDUGU WA TCHETCHE OUT AZAM FC.....


Timu ya Azam FC imeamua kuachana na kiungo wake wa Kiamataifa kutoka Ivory Coast  Kipre Bolou .

Azam FC, imeachana na nyota huyo baada ya mkataba wake kumalizika na sasa familia ya wawili hao ndugu imeisha kabisa baada ya awali  ndugu yake Kipre Herman Tchetche kuondoka na kuelekea ughaibuni.

Bolou alitua Azam FC akiwa na ndugu yake Tchetche ambaye sasa yupo nchini Oman anakocheza soka la kulipwa.

No comments:

Post a Comment

 
Copyright © 2016 Shamakala
Designed by Switch International | SHAMAKALA 360
    Twitter Facebook Google Plus Vimeo Videosmall Flickr YouTube