BREAKING
ROSE MHANDO :MSAMA NI BABA KWANGU ACHENI KUNIGOMBISHA NAYE.   UPANDIKIZAJI WA MENO BANDIA KWA NJIA YA KISASA MUHIMBILI MLOGANZILA 45 KUNUFAIKA NA HUDUMA    UTEKAJI WA WATOTO MKUU WA MKOA WA MBEYA JUMA HOMERA AWATAKA WANAFUNZI WA HOLY LAND PRE- & PRIMARY SCHOOL KUKATAA LIFTI   MSAMA ANG'AKA WAIMBAJI WA IN JILI KUPOTOKA MAADILI   DCEA YAFANIKIWA OPERESHENI DAWA ZA KULEVYA YAKAMATA JAHAZI DAWA ZA KULEVYA   NAIBU WAZIRI MKUU AKARIPIA UZEMBE TANESCO   MHE. RAIS DKT.SAMIA SULUHU HASSAN AFANYA MAZUNGUMZA NA RAIS WA CHINA MHE. XI JINPING    MHE. RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKUTANA NA WATANZANIA WANAOISHI CHINA..   RAIS SAMIA NCHINI KENYA-ASHIRIKI MKUTANO WA WAKUU WA NCHI   RAIS SAMIA ASHIRIKI MKUTANO WA WAKUU WA NCHI ZA AFRIKA-KENYA    Blogger Tips and Tricks & Blogger Templates

Tuesday, April 08, 2025

Sunday, 20 November 2016

WENGER NA MOURINHO KILA MMOJA USO WA MBUZI TAZAMA WALIVYOPEANA MIKONO

Manchester United na Arsenal zimetoshana nguvu sawa katika mchezo wao baada ya kutoka sare ya bao 1-1, lakini mchezo huo licha kuwa wa kuonyesha unaupinzani mkubwa uwanjani,upinzani mwingine bado upo kwa mameneja wa tyimu zote hizo mbili.

Jose Mourinho na Arsene Wenger wanaonekana bado hawaivi chungu kimoja tangu walivyoanza kurushiana maneno miaka kadhaa iliyopita.


Katika mchezo wa leo mara baada ya mechi ya o kumalizika makocha hao walipeana mkono kila mmoja akiwa ameangalia upande mwingine kabisa inshara inayoashiria kuwa mambo si mazuri

walipeana mkono kama sehemu ya kutimiza kile kinachoweza kuitwa bora liende huku kila mmoja akitazama nanapopajua.

Mchezo huo ulimalizika kwa sare ya 1-1,Arsenal wakilazimika kusawazisha bao likifungwa kwa kichwa na Mfaransa Olvier Giroud akitokea benchi.





No comments:

Post a Comment

 
Copyright © 2016 Shamakala
Designed by Switch International | SHAMAKALA 360
    Twitter Facebook Google Plus Vimeo Videosmall Flickr YouTube