BREAKING

Tuesday 8 November 2016

Breaking news:ALIYEWAHI KUWA WAZIRI WA SERIKALI YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA JOSEPH MUNGAI AFARIKI DUNIA......


Habari zilizotufikia hapa sasa hivi  zinasema aliyewahi kuwa waziri katika serikali ya jamhuri ya Muungano wa Tanzania Joseph Mungai amefariki dunia jijini Dar es Salaam leo.

Marehemu Mungai aliwahi kuwa mbunge wa Mufundi mkoa wa Iringa kwa mida mrefu na waziri katika wizara mbalimbali ikiwemo elimu pamoja na Kilimo.Habari zaidi kuhusiana na kifo cha marehemu Joseph Mungai zitawajia kupitia mtandao wako pendwa wa blog hii ya Shamakala360
Mungu aiweke roho ya marehemu Mungai mahala pema peponi  

No comments:

Post a Comment

 
Copyright © 2016 Shamakala
Designed by Switch International | SHAMAKALA 360
    Twitter Facebook Google Plus Vimeo Videosmall Flickr YouTube