Thursday, 30 July 2015
LOWASA ACHUKUA FOMU YA UGOMBEA URAIS CHADEMA.

Waziri Mkuu mstaafu Edward Lowasa, akiwasili makao Makuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo, CHAMADEMA, kachukua fomu ya kugombea Urais kupitia Chama hicho.&nb...
14:09
KUELEKEA MSIMU MPYA WA LIGA KUU YA UINGEREZA MULTICHOICE, TANZANIA KUZINDUA MSIMU MPYA WA LIGA KUU YA ENGLAND

Meneja Masoko wa DSTV Furaha Samalu , akizungumzia uzinduzi huo, wengine ni Barbara Kabongi Meneja Uhusiano na wa mwisho kulia ni Baraka Shelukindo, Meneja uendeshaji...
11:18
NISHATI YA GESI ASILIA KUTUA DAR MWEZI UJAO

Baadhi ya Mitaambo ya Gesi asilia
Jitihada za serikali katika kukabiliana na tatizo la upungufu wa umeme nchini, sambamba na matumizi ya nishati ya gesi asilia, kwa...
09:13
EDWARD LOWASSA KUCHUKUA FOMU LEO YA URAIS KUPEPERUSHA BENDERA YA CHADEMA

Waziri Mkuu Mstaafu Edward Lowasa pamoja na Mkewe Regina Lowasa wakiwa wakionyesha kadi zao baada ya kujiunga na Chama cha Demeokrasia na Maendeleo CHADEMA.
Waziri...
08:59
Tuesday, 28 July 2015
LOWASA AJIUNGA NA CHADEMA

Mwenyekiti wa CHADEMA,Freeman Mbowe, akiwa na Waziri Mkuu Mstaafu Edward Lowasa, wakati wa kumtambulisha kujiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEM...
18:13
LOWASA AJIUNGA RASMI CHADEMA,UKAWA WASEMA WAMEPATA HAZINA, WAMSHUKURU KIKWETE....

Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowasa, akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari hawapo pichani wakati wa kumtambulisha kujiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo...
18:04
Monday, 27 July 2015
BOBBI KRISTINA MTOTO WA WHITNEY AFARIKI DUNIA

Bobbi Kristina Brown ,mtoto wa
marehemu Whitney Houston ambaye alikuwa gwiji wa muziki wa R&B
,amefariki dunia baada ya kupoteza fahamu kwa muda wa miezi sita...
17:56
UKAWA WAMSAFISHA LOWASA, WASEMA NI MSAFI ANAWAFAA, HANA KASHFA YA UFISADI

Khamis Umoja wa Vyama Vinavyounda Umoja wa katiba ya wananchi -Ukawa vimemtaka na Waziri Mstaafu bw.Edward Lowasa kujiunga na Umoja huo na kuahidi kushirikiana nae katika...
16:50
Friday, 24 July 2015
TTCL YAUNGANISHA OFISI NA KANDA ZA MSD KWENYE MKONGO
Ofisa Mkuu wa Masoko na Mauzo wa kampuni ya Simu Tanzania (TTCL), Peter Ngota akionesha orodha ya wateja wanaopata huduma ya mkongo toka kampuni hiyo kwenye tableti yake,...
19:48
UJUMBE WA MADAKTARI BINGWA WA JUMUIYA YA WATANZANIA DMV WAWASILI BANDARI YA ZANZIBAR
Kaimu Mkurugenzi wa Benki ya Watu wa Zanzibar Ndg Seif Suleman akiwa katika bandari ya Zanzibar kuupokea Ujumbe wa Madaktari kutoka Jumuiya ya Watanzania Washington ukiwa...
19:45
KADAMA MALUNDE ACHAGULIWA MWENYEKITI MPYA WA WANAHABARI SHINYANGA
Mwenyekiti wa Klabu ya Waandishi wa Habari Mkoa wa Shinyanga aliyemaliza muda wake, Shija Felician akimpongeza Mwenyekiti mpya wa Waandishi wa Habari Mkoa wa Shinyanga,...
19:42
HUDUMA YA UPASUAJI WA WATOTO WENYE UGONJWA WA KICHWA KUJAA MAJI NA MGONGO WAZI YAZINDULIWA RASMI KATIKA HOSPITARI YA RUFAA YA MKOA WA KAGERA
Na Faustine Ruta, Bukoba
Shirika lisilokuwa la serikali la Friends of Children with Cancer Tanzania (FOCC TZ) lazindua rasmi huduma ya upasuaji wa watoto wenye ugonjwa...
19:40
Wednesday, 22 July 2015
MAGUFULI ASIMAMISHA SHUGHULI KWA MUDA, KAHAMA WANANCHI WAJITOKEZA KUMLAKI...

Mgombea Urais kwa tiketi ya chama cha mapinduzi CCM, akisaini moja ya Vitabu, vya Ofisi za chama hicho kablya kuwahutubia wananchi.
Wananchi wa Kahama wakiwa...
15:33
Subscribe to:
Posts (Atom)