BREAKING

Wednesday 31 May 2017

MULTICHOICE TANZANIA WAWAJAZA ZAWADI WADAU WAO KATIKA SIKU MAALUM YA KIAFRIKA

 Wadau wakiwa katika Picha ya pamoja baada ya kuhudhuria siku maalum ya Kiafrika iliyoandaliwa na Multichoice Tanzania kushoto ni John Bukuku, ambaye ni Mkurugenzi wa Fullshangwe, kulia ni Mkurugenzi wa mtandao wa Shamakala360, Said Makala
 Mwakilishi wa Multichoice Tanzania  Esther akimkabidhi zawadi maalum Mdau wa Mtandao wa LIMUTUZ William Cheyo, ikiwa ni maalum katika siku ya Kiafrika.
 Mwakilishi wa Multichoice Tanzania  Esther akimkabidhi Mdau wa Mtandao wa Shamakala360 zawadi maalum ya kuadhimisha siku ya kiafrika, Said Makala, ambaye pia ni Mtangazaji Channel Ten.

No comments:

Post a Comment

 
Copyright © 2016 Shamakala
Designed by Switch International | SHAMAKALA 360
    Twitter Facebook Google Plus Vimeo Videosmall Flickr YouTube