BREAKING
ROSE MHANDO :MSAMA NI BABA KWANGU ACHENI KUNIGOMBISHA NAYE.   UPANDIKIZAJI WA MENO BANDIA KWA NJIA YA KISASA MUHIMBILI MLOGANZILA 45 KUNUFAIKA NA HUDUMA    UTEKAJI WA WATOTO MKUU WA MKOA WA MBEYA JUMA HOMERA AWATAKA WANAFUNZI WA HOLY LAND PRE- & PRIMARY SCHOOL KUKATAA LIFTI   MSAMA ANG'AKA WAIMBAJI WA IN JILI KUPOTOKA MAADILI   DCEA YAFANIKIWA OPERESHENI DAWA ZA KULEVYA YAKAMATA JAHAZI DAWA ZA KULEVYA   NAIBU WAZIRI MKUU AKARIPIA UZEMBE TANESCO   MHE. RAIS DKT.SAMIA SULUHU HASSAN AFANYA MAZUNGUMZA NA RAIS WA CHINA MHE. XI JINPING    MHE. RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKUTANA NA WATANZANIA WANAOISHI CHINA..   RAIS SAMIA NCHINI KENYA-ASHIRIKI MKUTANO WA WAKUU WA NCHI   RAIS SAMIA ASHIRIKI MKUTANO WA WAKUU WA NCHI ZA AFRIKA-KENYA    Blogger Tips and Tricks & Blogger Templates

Tuesday, April 08, 2025

Tuesday, 16 February 2016

NYOTA WA MUZIKI NCHINI NIGERIA SEYI SHAY ATIA UTAMBI WA MAFANIKIO KWA WASANII WA TANZANIA


 Msanii wa kike wa muziki wa kizazi kipya kutoka Nchini Nigeria , Seyi Shay amesema anavutiwa na Tanzania inavyokua kisanaa licha ya kwamba bado wasanii wengi wanapaswa kujituma zaidi.

Nyota huyo ambaye anatamba na nyimbo yake ya 'Right Now' na video yake hiyo amesema hayo alipofanya mahojiano na waandishi wa habari katika chakula cha jioni Jijini Dar es salaam, chakula hicho ambacho kilindaliwa na kampuni ya Pepsi ambayo yeye ni Balozi ukanda wa Afrika.


No comments:

Post a Comment

 
Copyright © 2016 Shamakala
Designed by Switch International | SHAMAKALA 360
    Twitter Facebook Google Plus Vimeo Videosmall Flickr YouTube