BREAKING
ROSE MHANDO :MSAMA NI BABA KWANGU ACHENI KUNIGOMBISHA NAYE.   UPANDIKIZAJI WA MENO BANDIA KWA NJIA YA KISASA MUHIMBILI MLOGANZILA 45 KUNUFAIKA NA HUDUMA    UTEKAJI WA WATOTO MKUU WA MKOA WA MBEYA JUMA HOMERA AWATAKA WANAFUNZI WA HOLY LAND PRE- & PRIMARY SCHOOL KUKATAA LIFTI   MSAMA ANG'AKA WAIMBAJI WA IN JILI KUPOTOKA MAADILI   DCEA YAFANIKIWA OPERESHENI DAWA ZA KULEVYA YAKAMATA JAHAZI DAWA ZA KULEVYA   NAIBU WAZIRI MKUU AKARIPIA UZEMBE TANESCO   MHE. RAIS DKT.SAMIA SULUHU HASSAN AFANYA MAZUNGUMZA NA RAIS WA CHINA MHE. XI JINPING    MHE. RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKUTANA NA WATANZANIA WANAOISHI CHINA..   RAIS SAMIA NCHINI KENYA-ASHIRIKI MKUTANO WA WAKUU WA NCHI   RAIS SAMIA ASHIRIKI MKUTANO WA WAKUU WA NCHI ZA AFRIKA-KENYA    Blogger Tips and Tricks & Blogger Templates

Wednesday, April 09, 2025

Tuesday, 23 February 2016

MWENYEKITI WA CCM, RAIS MSTAAFU JAKAYA KIKWETE AZINDUA RASMI JENGO LA OFISI YA CCM WILAYA YA KIBAHA MJINI MKOA WA PWANI


Mwenyekiti wa CCM, Rais Mstaafu Jakaya Kikwete azindua rasmi jengo la Ofisi ya CCM, Wilaya ya Kibaha Mjini mkoa wa Pwani jana. Jengo hilo limejengwa kwa ufadhili wa fedha za familia ya Mbunge wa Jimbo la Kibaha mjini Slyvester Koka (kulia).

Mbunge wa Kibaha Mjini Slyvester Koka akieleza kuhusu mradi wa ujenzi wa Ofisi ya CCM wilaya ya Kibaha mjini mjini mkoa wa Pwani, kabla ya Mwenyekiti wa CCM, Rais Mstaafu Jakaya Kikwete kuzindua jengo hilo



 

Viongozi wa CCM, Wilaya ya Kibaha mjini wakimkabidhi zawadi ya picha yake ya kuchorwa, Mwenyekiti wa CCM, Rais Mstaafu Jakaya Kikwete, kabla ya kutoa vyeti kwa wana CCM mbalimbali walioshiriki kwa namna moja au nyingine kuimarisha Chama..

Zifuatazo ni mfululizo wa taswira mbalimbali alivyokuwa akionekana Mwenyekiti wa CCM, Rais Mstaafu Jakaya Kikwete alipohutubia wana CCM na wananchi kwa jumla baada ya kufungua Ofisi hiyo ya CCM Wilaya ya Kibaha mjini.. Kikwete alisisitiza umuhimu wa kuchukuliwa hatua waliookisaliti chama wakati wa Uchaguzi Mkuu uliopita, lakini akaonya hatua kuchukuliwa kwa uangalifu ili wasije wakachukuliwa hatua kwa kupakaziwa wanachama au viongozi ambao kwa kuonekana ni wanaonekana tu kuwa kkwazo kwa wenaotaka nafasi katika uchaguzi ujao.
   Pia Mwekyekiti aliwataka WanaCCM kuzingatia ujenzi wa Uhai wa Chama kwa kuingiza wanachama wapya, kufanya vikao na pia kufanya maamuzi kwa busara
  Aidha Kikwete akikana kuhusika kwa namna yoyote kutoa maelekezo kwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar, Jecha, kuufuta uchaguzi uliopita. SASA ENDELEA KUPEZUI PICHA

























No comments:

Post a Comment

 
Copyright © 2016 Shamakala
Designed by Switch International | SHAMAKALA 360
    Twitter Facebook Google Plus Vimeo Videosmall Flickr YouTube