BREAKING

Tuesday 14 August 2018

UEFA SUPER CUP MAMBO NI MOTOO!!!

UEFA SUPER CUP Jumatano hii kule Hispania mambo ni hivi, mambo ni moto!!

Nani atakuwa bingwa ya Super Cup, kati ya Real Madrid Na Atletico Madrid Jumatano hii? Usikose mechi hii kali ya mabingwa hawa mawili wakiwania ubingwa wa jumla wa Super Cup ndani ya DStv , Ni  Jumatano hii saa 4 usiku kupitia Supersport 3 iliyopo kwenye DStv pekee kifurushi Compact kwa sh.69,000 tu!

Bila kusahau, wateja wa DStv wanaweza pakua “Download Application”  ya DstvNow  itakayowawezesha watanzania wengi kufurahia msimu huu wa soka kwani unachotakiwa tu ni kuwa na akaunti yako ya DStv na unaweza kutazama katika vifaa zaidi ya vinne kama vile simu, kompyuta, na televisheni ya kawaida ukiwa mahali popote wakati wowote bila gharama ya ziada!


Ukiwa Na DStv, soka ni mwanzo mwisho yani Moto hauzimi, na kama sio DStv, Potezea!

No comments:

Post a Comment

 
Copyright © 2016 Shamakala
Designed by Switch International | SHAMAKALA 360
    Twitter Facebook Google Plus Vimeo Videosmall Flickr YouTube