BREAKING

Saturday 11 August 2018

MSIMU MPYA EPL, DSTV NI WALE WALE NA WANASEMA KAMA SIO DSTV POTEZEAAAAAAAA


Baada ya Msimu wa Kombe la Dunia kuisha tunarudi kwenye ratiba yetu rasmi ya Soka la Kibabe la Ligi ya EPL. 

Wanaotufungulia dimba Ijumaa hii ni mechi kati ya Manchester United dhidi ya Leicester City. Wazee wa kazi wanasema biashara asubuhi, je wabingwa hawa wataanzaje msimu huu? 


MAJIBU tutayapata Ijumaa hii ndani ya Supersport 3 Saa 3:50 usiku LIVE kwenye DStv pekee ikiwa kwenye Lugha yetu tamu adhimu ya Kiswahili.


Bila kusahau, wateja wa DStv wanaweza pakua “Download Application”  ya DstvNow  itakayowawezesha watanzania wengi kufurahia msimu huu wa soka kwani unachotakiwa tu ni kuwa na akaunti yako ya DStv na unaweza kutazama katika vifaa zaidi ya vinne kama vile simu, kompyuta, na televisheni ya kawaida ukiwa mahali popote wakati wowote!
Huu Moto hauzimi na kama sio DStv, Basi Potezea!


10Aug2018

No comments:

Post a Comment

 
Copyright © 2016 Shamakala
Designed by Switch International | SHAMAKALA 360
    Twitter Facebook Google Plus Vimeo Videosmall Flickr YouTube