BREAKING
ROSE MHANDO :MSAMA NI BABA KWANGU ACHENI KUNIGOMBISHA NAYE.   UPANDIKIZAJI WA MENO BANDIA KWA NJIA YA KISASA MUHIMBILI MLOGANZILA 45 KUNUFAIKA NA HUDUMA    UTEKAJI WA WATOTO MKUU WA MKOA WA MBEYA JUMA HOMERA AWATAKA WANAFUNZI WA HOLY LAND PRE- & PRIMARY SCHOOL KUKATAA LIFTI   MSAMA ANG'AKA WAIMBAJI WA IN JILI KUPOTOKA MAADILI   DCEA YAFANIKIWA OPERESHENI DAWA ZA KULEVYA YAKAMATA JAHAZI DAWA ZA KULEVYA   NAIBU WAZIRI MKUU AKARIPIA UZEMBE TANESCO   MHE. RAIS DKT.SAMIA SULUHU HASSAN AFANYA MAZUNGUMZA NA RAIS WA CHINA MHE. XI JINPING    MHE. RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKUTANA NA WATANZANIA WANAOISHI CHINA..   RAIS SAMIA NCHINI KENYA-ASHIRIKI MKUTANO WA WAKUU WA NCHI   RAIS SAMIA ASHIRIKI MKUTANO WA WAKUU WA NCHI ZA AFRIKA-KENYA    Blogger Tips and Tricks & Blogger Templates

Tuesday, April 08, 2025

Monday, 17 July 2017

VITA YA WEZI WA KAZI ZA WASANII,MSAMA AJITOSA TENA


MSAMA-Mkurugenzi wa Msama Auction Mart.
Kampuni ya Udalali ya Msama Auction Mart, inatarajia kuanza kuwakamata wezi wote wanaojishughulisha na wizi wa kazi za wasanii, ambapo itaanza kazi hiyo Jumatatu ya wiki inayokuja.

Kampuni hiyo kepitia Mkurugenzi wake Alex Msama imesema inaungana na Serikali kuhakikisha wezi  wa kazi za wasanii sasa inakuwa vita kwani wasanii wengi wamekuwa wakidhulumiwa kwa kiasi kikubwa.

Akizungumzia sula hilo Mkurugezi wa Msama Promosheni amesema kuwa watakaohusika katika zoezi hilo la kuwakamata ni pamoja na wale wanadurufu CD feki, pamoja na wale wanaonyonya nyimbo kwa kutumia kompyuta .

Amesema kuna vijana wengi wanafanya kazi hiyo na kurudisha nyuma maendeleo ya wasanii, ambao wamekuwa wakilia kila kukicha juu ya wizi huo.

No comments:

Post a Comment

 
Copyright © 2016 Shamakala
Designed by Switch International | SHAMAKALA 360
    Twitter Facebook Google Plus Vimeo Videosmall Flickr YouTube