Saturday, 29 July 2017
MASHINDANO YA KIGWANGALLA CUP 2017 YAZINDULIWA JIMBO LA NZEGA VIJIJINI
Mbunge wa Nzega Vijijini ambaye pia ni Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mh. Dk. Hamisi Kigwangalla akisalimiana na timu ya Kata...
Monday, 24 July 2017
MAOFISA UGANI WATAKIWA KUTUMIA MAFUNZO WANAYOPATA KUWAELIMISHA WAKULIMA
Mtafiti, Bestina Daniel kutoka Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH), akizungumza na maofisa ugani wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya siku moja kwa maofisa hao...
16:30
Monday, 17 July 2017
CHAMA CHA RIADHA TANZANIA RT CHATANGAZA KUHAIRISHA MASHINDANO YA TAIFA KUFUTIA UKATA WA FEDHA.

WILHELM GIDABUDAY-Katibu Mkuu wa RT
Katibu Mkuu wa Chama caha Riadha tanzania RT Wilhelm GidaBuday amesema kuwa kufuatia ukata wafedha wanaokabiliana nao wameamua...
17:51
VITA YA WEZI WA KAZI ZA WASANII,MSAMA AJITOSA TENA

MSAMA-Mkurugenzi wa Msama Auction Mart.
Kampuni ya Udalali ya Msama Auction Mart, inatarajia kuanza kuwakamata wezi wote wanaojishughulisha na wizi wa kazi za wasanii,...
17:49
AFISA HABARI WA KLABU YA SOKA YA SIMBA HAJJI MANARA ATANGAZWA NA KAMATI YA NIDHAMU YA TFF KUWA HURU KATIKA KIFUNGO CHA MWAKA MMOJA ALICHOPEWA.

ABBASI TARIMBA Mwenyekiti wa kamati ya nidhamu(TFF).
Hatimaye Afisa habari wa klabu ya soka ya simba Hajji Manara sasa yupo huru baada ya Mwenyekiti wa kamati ya nidhamu...
17:47
MSAJILI WA VYAMA VYA MICHEZO AWAKANA WAZEE WA KLABU YA SOKA YA SIMBA JUU YA KATIBA..

Ibrahim Sapi Mkwawa,Msajili wa Michezo
Siku Chache tangu wazee wa klabvu ya soka ya Simba kuibuka kwa kumuomba Rais John Pombe Magufuli kuingilia katika maamuzi...
17:45
UMIA NI CHACHU KWA UKUAJI WA BIASHARA ZA MTANDAONI BARANI AFRIKA

Mwaka 2017 kampuni ya Jumia ambayo inajishughulisha na huduma mbalimbali kwa njia ya mtandao barani Afrika inatimiza miaka mitano tangu kuanzishwa kwake mnamo mwaka 2012.
Kampuni...
17:01
Wednesday, 12 July 2017
MICHAEL CARRICK AMRITHI KITAMBAA WAYNE ROONEY

Manchester United imemtangaza nyota we Michael Carrick kuwa nahodha mpya akichukua mikoba ya aliyekuwa nahodha wa kikosi hicho Wayne Rooney ambaye amejiunga na Everton,...
09:37
CONOR MCGREGOR ATAMBA KUMTWANGA BINGWA WA DUNIA FLOYD MAYWEATHER

Bondia Conor McGregor ametamaba kummaliza katika raundi ya nne bingwa wa dunia wa ngumi za kulipwa ambaye hajawahi kupoteza pambano, Floyd Mayweather katika ufunguzi...
09:32
Tuesday, 11 July 2017
JULIO AICHAMBUA KAMATI YA UCHAGUZI YA TFF, ASEMA IMEKURUPUKA KUMKATA......

Baada ya Kamati ya Uchaguzi ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kumuengua kocha maarufu nchini, Jamhuri Kihwelo Julio aliyekuwa anawania uongozi wa shirikisho hilo katika...
08:51
KOCHA MAYANGA AYAWEKA HADHARANI MAJINA 24 YA WACHEZAJI WATAKAOWAKABILI RWANDA-MWANZA

Kocha Salum Mayanga ametangaza kikosi cha wacheaji 24 kitakacho menyana na na Rwanda Jijini Mwanza katika mchezo wa CHAN huku akiwaacha abaadhi ya wachezaji ndani ya kikosi...
08:48
WAZIRI MWAKYEMBE ASITISHA UTEUZI WA MALINZI WA BMT NA WAJUMBE WOTE BMT

DK.HARRISON MWAKYEMBE-Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo akizunggumza na wanahabari hawapo pichani, kutangaza kuengua safu ya Uongozi wa BMT
Waziri wa...
08:46
MFUMUKO WA BEI WA TAIFA KWA MWEZI JUNI,2017 WAPUNGUA KWA ASIMILIA 5.4
Mkurugenzi wa Sensa ya Watu na Takwimu za Jamii Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS), Ephraim Kwesigwabo (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari...
08:37
Wednesday, 5 July 2017
YANGA YAMTAMBULISHA NYOTA WAO IBRAHIM AJIBU, PASTORY ATHANAS AJIUNGA NA SINGIDA UNITED

Ajibu akikabidhiwa Jezi yake namba 10 kwa ajili ya kutumikia Yanga msimu mpya wa Ligi Kuu Tanzania bara
Mshambuliaji Pastory Athana...
15:34
MANISPAA YA UBUNGO YAANZISHA REJESTA YA WAKAZI KWA KILA MTAA
Mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo Ndg John Lipesi Kayombo akionyesha kitabu cha kutunza kumbukumbu za kusikiliza malalamiko ya wananchi katika Ofisi za serikali muda...
15:27
Subscribe to:
Posts (Atom)