BREAKING
ROSE MHANDO :MSAMA NI BABA KWANGU ACHENI KUNIGOMBISHA NAYE.   UPANDIKIZAJI WA MENO BANDIA KWA NJIA YA KISASA MUHIMBILI MLOGANZILA 45 KUNUFAIKA NA HUDUMA    UTEKAJI WA WATOTO MKUU WA MKOA WA MBEYA JUMA HOMERA AWATAKA WANAFUNZI WA HOLY LAND PRE- & PRIMARY SCHOOL KUKATAA LIFTI   MSAMA ANG'AKA WAIMBAJI WA IN JILI KUPOTOKA MAADILI   DCEA YAFANIKIWA OPERESHENI DAWA ZA KULEVYA YAKAMATA JAHAZI DAWA ZA KULEVYA   NAIBU WAZIRI MKUU AKARIPIA UZEMBE TANESCO   MHE. RAIS DKT.SAMIA SULUHU HASSAN AFANYA MAZUNGUMZA NA RAIS WA CHINA MHE. XI JINPING    MHE. RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKUTANA NA WATANZANIA WANAOISHI CHINA..   RAIS SAMIA NCHINI KENYA-ASHIRIKI MKUTANO WA WAKUU WA NCHI   RAIS SAMIA ASHIRIKI MKUTANO WA WAKUU WA NCHI ZA AFRIKA-KENYA    Blogger Tips and Tricks & Blogger Templates

Monday, April 07, 2025

Monday, 14 August 2023

WANANCHI WILAYA YA NGORONGORO WAANDAMANA KWA MABANGO KUSHINIKIZA WAHAMIE MSOMERA




Baadhi ya wananchi wanaoishi ndani ya Mamlaka ya hifadhi ya Ngorongoro katika wilaya ya Ngorongoro mkoani Arusha wamepaza sauti zao kupitia vyombo vya habari wakiwa na Mabango yaliyoandikwa jumbe mbalimbali.

Wananchi hao wakiongozwa na kiongozi wa Kimila wa jamii ya Wamasai Laigwanani Petro Tengesi wamefanya maandamano ya amani katika kijiji cha Kapenjiro wakiwa wamebeba mabango yanayoonesha kuchukizwa na wanaopinga wao kuhamia Msomera.
Wamesema wapo tayari kuhama muda wowote na kwamba wameshafika katika eneo la Msomera kujionea hali ilivyo na kwamba wameridhishwa nayo.
Kiongozi huyo wa mila amesema wamechoka kuishi eneo la Ngorongoro kwa kuwa hawana uhuru wa kufanya shughuli yoyote ya maendeleo kikiwemo kilimo ambacho kingewawezesha kupata chakula.




No comments:

Post a Comment

 
Copyright © 2016 Shamakala
Designed by Switch International | SHAMAKALA 360
    Twitter Facebook Google Plus Vimeo Videosmall Flickr YouTube