BREAKING

Wednesday 23 August 2023

RAIS DK.SAMIA SULUHU HASSAN, MAOFISA PUMA ENERGY WAFANYA MAZUNGUMZO


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu  akizungumza na maofisa kutoka Puma Energy ambao ni Ofisa Mtendaji Mkuu wa Puma Energy kutoka kulia Ofisa Mtendaji Mkuu wa Puma Energy ( Global)Hadi Hallouche, Ofisa Mtendaji Mkuu wa Puma Afrika,  Fadi Mitri na Mkuu wa Puma Energy Afrika Constantin De Bartha



RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan akiwa katika picha ya pamoja na Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Puma Energy na Mkurugenzi Mwenza wa Kampuni ya Mafuta ya Trafigura Hadi Hallouche (kulia kwa Rais Samia). Wanaofuata kulia kwa Rais ni Mkuu wa kampuni hiyo Afrika Constantin De Bartha, Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Puma Afrika Fadi Mitri, Msajili wa Hazina Nehemia Mchechu (kushoto kwa Rais) na Mkurugenzi wa Puma Energy Tanzamia Fatma Abdallah.



No comments:

Post a Comment

 
Copyright © 2016 Shamakala
Designed by Switch International | SHAMAKALA 360
    Twitter Facebook Google Plus Vimeo Videosmall Flickr YouTube