BREAKING

Wednesday 23 August 2023

DKT. FREDY TUTAWARUHUSU WATU KWENDA POPOTE

"Awamu ya pili ya Uhamishaji Wananchi katika hifadhi ya Ngorongoro, tutahakikisha tunaruhusu watu wanaotaka kwenda sehemu nyingine nje ya Msomera waende, lakini tutakuwa makini kwa sababu tusije tukatatua matatizo ya Ngorongoro tukayapeleka sehemu nyingine, wakati watu wanavyojiandikisha kuhama tutataka kujua wanataka kwenda wapi? na tuweke utaratibu mzuri wa kwenda na kumpokelewa vizuri na kuweka takwimu vizuri ili waende sehemu ambayo inafaa’’ Hayo yamebanishwa na Dkt. Fredy Manongi Kamishna Mkuu Hifadhi ya Ngorongoro

No comments:

Post a Comment

 
Copyright © 2016 Shamakala
Designed by Switch International | SHAMAKALA 360
    Twitter Facebook Google Plus Vimeo Videosmall Flickr YouTube