BREAKING

Sunday 11 June 2017

JIONEE PICHA MBALIMBALI ZA MATENGENEZO YA VIWANJA VYA GOFU LUGALO






David Melela,Msimamizi wa Viwanja vya Gofu Lugalo
Uongozi wa klabu ya Gofu Lugalo umesema kuwa baada ya kumalizika kwa mvua ambayo iliharibu miundombinu ya viwanja hivyo sasa viwanja vimefanyiwa matengenezo na sasa wanamichezo wa gofu wanakaribishwa rasmi katika viwanja hivyo kucheza.

Msimamizi wa Viwanja hivyo amabaye pia ni mchezaji wa kimataifa wa gofu David Melela, amesema kuwa viwanja hivyo viliharibika kutokana na mvua nyingi zilizokuwa zikinyeesha.



No comments:

Post a Comment

 
Copyright © 2016 Shamakala
Designed by Switch International | SHAMAKALA 360
    Twitter Facebook Google Plus Vimeo Videosmall Flickr YouTube