BREAKING
ROSE MHANDO :MSAMA NI BABA KWANGU ACHENI KUNIGOMBISHA NAYE.   UPANDIKIZAJI WA MENO BANDIA KWA NJIA YA KISASA MUHIMBILI MLOGANZILA 45 KUNUFAIKA NA HUDUMA    UTEKAJI WA WATOTO MKUU WA MKOA WA MBEYA JUMA HOMERA AWATAKA WANAFUNZI WA HOLY LAND PRE- & PRIMARY SCHOOL KUKATAA LIFTI   MSAMA ANG'AKA WAIMBAJI WA IN JILI KUPOTOKA MAADILI   DCEA YAFANIKIWA OPERESHENI DAWA ZA KULEVYA YAKAMATA JAHAZI DAWA ZA KULEVYA   NAIBU WAZIRI MKUU AKARIPIA UZEMBE TANESCO   MHE. RAIS DKT.SAMIA SULUHU HASSAN AFANYA MAZUNGUMZA NA RAIS WA CHINA MHE. XI JINPING    MHE. RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKUTANA NA WATANZANIA WANAOISHI CHINA..   RAIS SAMIA NCHINI KENYA-ASHIRIKI MKUTANO WA WAKUU WA NCHI   RAIS SAMIA ASHIRIKI MKUTANO WA WAKUU WA NCHI ZA AFRIKA-KENYA    Blogger Tips and Tricks & Blogger Templates

Wednesday, April 09, 2025

Sunday, 11 June 2017

JIONEE PICHA MBALIMBALI ZA MATENGENEZO YA VIWANJA VYA GOFU LUGALO






David Melela,Msimamizi wa Viwanja vya Gofu Lugalo
Uongozi wa klabu ya Gofu Lugalo umesema kuwa baada ya kumalizika kwa mvua ambayo iliharibu miundombinu ya viwanja hivyo sasa viwanja vimefanyiwa matengenezo na sasa wanamichezo wa gofu wanakaribishwa rasmi katika viwanja hivyo kucheza.

Msimamizi wa Viwanja hivyo amabaye pia ni mchezaji wa kimataifa wa gofu David Melela, amesema kuwa viwanja hivyo viliharibika kutokana na mvua nyingi zilizokuwa zikinyeesha.



No comments:

Post a Comment

 
Copyright © 2016 Shamakala
Designed by Switch International | SHAMAKALA 360
    Twitter Facebook Google Plus Vimeo Videosmall Flickr YouTube