Baadhi ya wananchi wa kijiji cha Namilema wialyani Ruangwa wakimsikiliza
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati
alipozungumza nao akiwa katika ziara ya jimbo lake la uchaguzi la Ruangwa
Desemba 28, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu,
Kassim Majaliwa akiteta na vikongwe wa
kijiji cha Nandandala wilayani Ruangwa baada ya kuhutubia mkutano wa hadhara
kijijini hapo akiwa katika ziara ya
jimbo lake la uchaguzi la Ruangwa , Desemba 28, 2016. (Pichana ofisi ya Waziri
Mkuu)
Waziri Mkuu,
Kassim Majaliwa akisalimiana na wananchi wa kijiji cha Nandandala wilayani
Ruangwa akiwa katika ziara ya jimbo lake la uchaguzi la Ruangwa Desemba 28,
2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
No comments:
Post a Comment