Mohamed 'MO' Ibrahim akipongezwa na Kichuya
Mo akiachia shuti kali kwenye lango la Ruvu Shooting na kufunga bao pekee ,( Picha hii ni kwa Hisani ya Mtandao wa Bin Zubeiry)
Kiungo Mshambuliaji wa Simba Mohammed ‘Mo’ Ibrahim ameifungia bao pekee timu yake ya Simba katika ushindi wa 1-0 katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam.
Bao hilo alifunga katika dakika ya 45 kabla ya mapumziko na kuifanya sasa timu yake ya Simba kufikisha pointi 44 baada ya kucheza mechi ya 18 na kuendelea kuogoza Ligi Kuu kwa pointi nne zaidi ya mabingwa watetezi, Yanga.
mdomo wazi kutokana na kuonyesha kiwango bora zaidi tangu alipotoka Mtibwa Sugar ya Morogoro.
Mo akiachia shuti kali kwenye lango la Ruvu Shooting na kufunga bao pekee ,( Picha hii ni kwa Hisani ya Mtandao wa Bin Zubeiry)
Kiungo Mshambuliaji wa Simba Mohammed ‘Mo’ Ibrahim ameifungia bao pekee timu yake ya Simba katika ushindi wa 1-0 katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam.
Bao hilo alifunga katika dakika ya 45 kabla ya mapumziko na kuifanya sasa timu yake ya Simba kufikisha pointi 44 baada ya kucheza mechi ya 18 na kuendelea kuogoza Ligi Kuu kwa pointi nne zaidi ya mabingwa watetezi, Yanga.
mdomo wazi kutokana na kuonyesha kiwango bora zaidi tangu alipotoka Mtibwa Sugar ya Morogoro.
No comments:
Post a Comment