BREAKING

Friday 30 December 2016

KIUNGO 'MO' WA SIMBA LULU INAYOTEMBEA MBELE KWA MBELE, AIPA SIMBA POINTI TENA

Mohamed 'MO' Ibrahim akipongezwa na Kichuya

Mo akiachia shuti kali kwenye lango la Ruvu Shooting na kufunga bao pekee ,( Picha hii ni kwa Hisani ya Mtandao wa Bin Zubeiry)


Kiungo Mshambuliaji wa Simba Mohammed ‘Mo’ Ibrahim ameifungia bao pekee timu yake ya Simba katika ushindi wa 1-0 katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara  Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam.
  Bao hilo alifunga katika dakika ya 45 kabla ya mapumziko na kuifanya sasa timu yake ya Simba kufikisha pointi 44 baada ya kucheza mechi ya 18 na kuendelea kuogoza Ligi Kuu kwa pointi nne zaidi ya mabingwa watetezi, Yanga.
  mdomo wazi kutokana na kuonyesha kiwango bora zaidi tangu alipotoka  Mtibwa Sugar ya Morogoro.

No comments:

Post a Comment

 
Copyright © 2016 Shamakala
Designed by Switch International | SHAMAKALA 360
    Twitter Facebook Google Plus Vimeo Videosmall Flickr YouTube