BREAKING

Thursday 8 December 2016

BALOZI WA CUBA HAPA NCHINI AMUAGA KATIBU MKUU WA CCM ABDULRAHMAN KINANA, LEO


 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akimkaribisha Balozi wa Cuba, Jorge Luis Lopez (kushoto), alipofika leo katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam, kumuaga kufuatia kumalizika kwa mda wake wa kazi hapa nchini
 Kinana akimkaribsha Lopez kuketi
  Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akiwa katika mazungumzo na Balozi wa Cuba, Jorge Luis Lopez (kushoto), alipofika leo katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam, kuaga kufuatia kumalizika kwa mda wake wa kazi hapa nchini
 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akiwa katika mazungumzo na Balozi wa Cuba, Jorge Luis Lopez (kushoto), alipofika leo katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam, kuaga kufuatia kumalizika kwa mda wake wa kazi hapa nchini Kulia ni Ofisa wa Makao Makuu ya CCM, kutoka Idara ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa, Frank Uhahula.
Ofisa wa Makao Makuu ya CCM, kutoka Idara ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa, Frank Uhahula akimpa mapokezi ya awali, Balozi Lopez, kabla ya Balozi huyo kuonana na Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana, Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment

 
Copyright © 2016 Shamakala
Designed by Switch International | SHAMAKALA 360
    Twitter Facebook Google Plus Vimeo Videosmall Flickr YouTube