BREAKING

Wednesday 28 December 2016

Breaking News:MAKOCHA WA AZAM FC WATIMULIWA KAZI,BAADA YA KUSHINDWA KUIPA MAFANIKIO TIMU HIYO..

Azam FC imeawasimamisha kazi makocha wake, Zeben Hernandez pamoja na wasaidizi wake

Zeben na wenzake , wametimuliwa hii leo kufuatia Azam FC kuwa na  mwendo wa kusuasua katika Ligi Kuu ya Tanzania Bara inayoongozwa na Simba wenye pointi 41 wakifutiwa na mabingwa watetezi Yanga wenye pointi 40
Azam FC hadi sasa ipo nafasi ya nne ikiwa na pointi 27 kibindini huku ikiwa imeshacheza mechi 17.
Katika mechi hizo timu hiyo ya Azam FC imefanikiwa kushinda mechi saba,na kupteza michezo nne pamoja na  sare sita.

No comments:

Post a Comment

 
Copyright © 2016 Shamakala
Designed by Switch International | SHAMAKALA 360
    Twitter Facebook Google Plus Vimeo Videosmall Flickr YouTube