Azam FC imeawasimamisha kazi makocha wake, Zeben Hernandez pamoja na wasaidizi wake
Zeben na wenzake , wametimuliwa hii leo kufuatia Azam FC kuwa na mwendo wa kusuasua katika Ligi Kuu ya Tanzania Bara inayoongozwa na Simba wenye pointi 41 wakifutiwa na mabingwa watetezi Yanga wenye pointi 40
Azam FC hadi sasa ipo nafasi ya nne ikiwa na pointi 27 kibindini huku ikiwa imeshacheza mechi 17.
Katika mechi hizo timu hiyo ya Azam FC imefanikiwa kushinda mechi saba,na kupteza michezo nne pamoja na sare sita.
Azam FC hadi sasa ipo nafasi ya nne ikiwa na pointi 27 kibindini huku ikiwa imeshacheza mechi 17.
Katika mechi hizo timu hiyo ya Azam FC imefanikiwa kushinda mechi saba,na kupteza michezo nne pamoja na sare sita.
No comments:
Post a Comment