BREAKING
ROSE MHANDO :MSAMA NI BABA KWANGU ACHENI KUNIGOMBISHA NAYE.   UPANDIKIZAJI WA MENO BANDIA KWA NJIA YA KISASA MUHIMBILI MLOGANZILA 45 KUNUFAIKA NA HUDUMA    UTEKAJI WA WATOTO MKUU WA MKOA WA MBEYA JUMA HOMERA AWATAKA WANAFUNZI WA HOLY LAND PRE- & PRIMARY SCHOOL KUKATAA LIFTI   MSAMA ANG'AKA WAIMBAJI WA IN JILI KUPOTOKA MAADILI   DCEA YAFANIKIWA OPERESHENI DAWA ZA KULEVYA YAKAMATA JAHAZI DAWA ZA KULEVYA   NAIBU WAZIRI MKUU AKARIPIA UZEMBE TANESCO   MHE. RAIS DKT.SAMIA SULUHU HASSAN AFANYA MAZUNGUMZA NA RAIS WA CHINA MHE. XI JINPING    MHE. RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKUTANA NA WATANZANIA WANAOISHI CHINA..   RAIS SAMIA NCHINI KENYA-ASHIRIKI MKUTANO WA WAKUU WA NCHI   RAIS SAMIA ASHIRIKI MKUTANO WA WAKUU WA NCHI ZA AFRIKA-KENYA    Blogger Tips and Tricks & Blogger Templates

Tuesday, April 15, 2025

Wednesday, 28 December 2016

Breaking News:MAKOCHA WA AZAM FC WATIMULIWA KAZI,BAADA YA KUSHINDWA KUIPA MAFANIKIO TIMU HIYO..

Azam FC imeawasimamisha kazi makocha wake, Zeben Hernandez pamoja na wasaidizi wake

Zeben na wenzake , wametimuliwa hii leo kufuatia Azam FC kuwa na  mwendo wa kusuasua katika Ligi Kuu ya Tanzania Bara inayoongozwa na Simba wenye pointi 41 wakifutiwa na mabingwa watetezi Yanga wenye pointi 40
Azam FC hadi sasa ipo nafasi ya nne ikiwa na pointi 27 kibindini huku ikiwa imeshacheza mechi 17.
Katika mechi hizo timu hiyo ya Azam FC imefanikiwa kushinda mechi saba,na kupteza michezo nne pamoja na  sare sita.

No comments:

Post a Comment

 
Copyright © 2016 Shamakala
Designed by Switch International | SHAMAKALA 360
    Twitter Facebook Google Plus Vimeo Videosmall Flickr YouTube