Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na wajumbe wa bodi ya Benki ya
Uchumi Commercial, tawi la Karatu kabla ya kufungua benki hiyo Desemba
5, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Baadhi ya viongozi na watumishi wa Benki ya Uchumi Commercial tawi
la Karatu wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati
alipozungumza kabla ya kufungua tawi hilo Desemba 5, 2016. (Picha na
Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu,Kassim Majaliwa akizungumza kabla ya kufungua Benki ya
Uchumi Commercial tawi la Karatu Desemba 5, 2016. (Picha na Ofisi ya
Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitembelea Benki ya Uchumi Commercial, tawi la Karatu baada ya kuifungua Desemba 5, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa Benki ya Uchumi Commercial tawi la Karatu baada ya kuifungua Desemba 5, 2016.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitembelea Benki ya Uchumi Commercial, tawi la Karatu baada ya kuifungua Desemba 5, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa Benki ya Uchumi Commercial tawi la Karatu baada ya kuifungua Desemba 5, 2016.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
No comments:
Post a Comment