BREAKING
ROSE MHANDO :MSAMA NI BABA KWANGU ACHENI KUNIGOMBISHA NAYE.   UPANDIKIZAJI WA MENO BANDIA KWA NJIA YA KISASA MUHIMBILI MLOGANZILA 45 KUNUFAIKA NA HUDUMA    UTEKAJI WA WATOTO MKUU WA MKOA WA MBEYA JUMA HOMERA AWATAKA WANAFUNZI WA HOLY LAND PRE- & PRIMARY SCHOOL KUKATAA LIFTI   MSAMA ANG'AKA WAIMBAJI WA IN JILI KUPOTOKA MAADILI   DCEA YAFANIKIWA OPERESHENI DAWA ZA KULEVYA YAKAMATA JAHAZI DAWA ZA KULEVYA   NAIBU WAZIRI MKUU AKARIPIA UZEMBE TANESCO   MHE. RAIS DKT.SAMIA SULUHU HASSAN AFANYA MAZUNGUMZA NA RAIS WA CHINA MHE. XI JINPING    MHE. RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKUTANA NA WATANZANIA WANAOISHI CHINA..   RAIS SAMIA NCHINI KENYA-ASHIRIKI MKUTANO WA WAKUU WA NCHI   RAIS SAMIA ASHIRIKI MKUTANO WA WAKUU WA NCHI ZA AFRIKA-KENYA    Blogger Tips and Tricks & Blogger Templates

Monday, April 07, 2025

Friday, 12 August 2016

MWENYEKITI WA CCM, RAIS DK. MAGUFULI ARIPOTI RASMI, OFISI NDOGO YA MAKAO MAKUU YA CCM, LUMUMBA JIJINI DAR ES SALAAM, LEO


 Mwenyekiti wa CCM, Rais Dk. Johnn Magufuli akipokewa na Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana alipowasili leo, Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam, ikiwa ni mara yake ya kwanza kufika katika ofisi hiyo, akiwa Mwenyekiti wa Chama. Kulia ni Waziri Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa.
 Mwenyekiti wa CCM, Rais Dk. John Magufuli akiwasalimia wananchi na wanachama wa CCM waliomlaki kwa shauku alipowasili Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba, Dar es Salaam, leo
 Mwenyekiti wa CCM, Rais Dk. John Magufuli akiwasalimia wananchi na wanachama wa CCM waliomlaki kwa shauku alipowasili Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba, Dar es Salaam, leo
 Mwenyekiti wa CCM, Rais Dk. John Magufuli akiwasalimia wananchi na wanachama wa CCM waliomlaki kwa shauku alipowasili Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba, Dar es Salaam, leo
 Mwenyekiti wa CCM, Rais Dk. John Magufuli akiwasalimia wananchi na wanachama wa CCM waliomlaki kwa shauku alipowasili Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba, Dar es Salaam, leo
 Mwenyekiti wa CCM, Rais Dk. John Magufuli akimsalimia Mwenyekiti wa Jumuia ya Wazazi Abdallah Bulenbo,alipowasili Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba, Dar es Salaam, leo
 Mwenyekiti wa CCM, Rais Dk. John Magufuli akimsalimia Angela Kairuki alipowasili Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba, Dar es Salaam, leo
 Mwenyekiti wa CCM, Rais Dk. John Magufuli akiendelea kuwasalimia wananchi na wanachama wa CCM waliomlaki kwa shauku alipowasili Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba, Dar es Salaam, leo
  
 Mwenyekiti wa CCM, Rais Dk. John Magufuli akisaini kitabu baada ya Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana (kulia), kumuonyesha Ofisi yake Mwenyekiti huyo, alipowasili Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba, Dar es Salaam, leo. Kushoto ni Wazir Mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa, Naibu Spika wa Bunge Dk. Tulia na Mweyekiti wa CCM mkoa wa Dar es Salaam, Ramadhani Madabida
 Mwenyekiti wa CCM, Rais Dk. John Magufuli akiendelea kusaini vitabu Ofisini kwake, katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba, Dar es Salaam, leo 
 Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana (kulia) akitoa maneno ya kumkaribisha rasmi kwenye Ofisi yeke ya Uenyekiti wa CCM, Mwenyekiti wa CCM, Rais Dk. John Magufuli
 Mwenyekiti wa CCM, Rais John Magufuli akishukuru baada ya kusaini Vitabu na Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana kumuonyesha rasmi ofisi. 
 Mwenyekiti wa CCM, Rais Dk. John Magufuli akiwasalimia wananchi na wanachama wa CCM waliomlaki kwa shauku alipowasili Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba, Dar es Salaam, leo. Kulia ni Mama Janneth Magufuli, Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana. Na kushoto ni Naibu Katibu Mkuu wa CCM, Rajab Luhwavi, Waziri Mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dar es Salaam, Ramadhani Madabida.
 Mwenyekiti wa CCM, Rais Dk. John Magufuli akiwa mezakuu na viongozi waandamizi alipowasili Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba, Dar es Salaam, leo
 Msemaji wa CCM, Christopher Ole Sendeka akimkaribisha Katibu wa NEC, Itikadi na uenezi Nape Nnauye kumkariisha Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana, ili kuendelea na shughuli 
 Mbunge wa Ilala Mussa Azan Zungu akizungumzabaada ya kupewa nafasi na Katibu wa NEC, Itikadi na uenezi, Nape Nnauye
 Wananchi wakishangilia kwa bashasha Mwenyekiti wa CCM, Rais Dk. Magufuli
 Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dar es Salaam, Ramadhani Madabida akizungumza kama Mwenyeji wa mapaokezi ya Mwenyekiti wa CCM Rais Dk, John Magufuli
 Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, ambaye pia ni Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye akimkaribisha Kinana kumkariisha Mwenyekiti wa CCM, Rais Dk. Magufuli kuzungumza na wana CCM na wananchi, Nje ya Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM Lumumba Dar es Salaam, leo
 Katibu Mkuu akimkaribisha Waziri Mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa kabla ya kumkaribisha Dk. Magufuli
 Waziri Mkuu Majaliwa Kaasim Majaliwa akizungumza kabla ya Mwenyekiti wa CCM, Rais Dk. John Magufuli kupanda jukwaani.
 Wananchi wakishangilia
 Naibu Spika wa Bunge Dk. Tulia, akizungumza baada ya kukaribishwa na Mwenyekiti wa CCM, Rais Dk. Magufuli kusalimia hadhara. Zifuatazo ni Picha zinazoonyesha Dk. Magufuli akionyesha msisitizo  wakati akizungumza na wananchi na wanachama wa CCM.



 Mwenyekiti wa CCM, Rais Dk. John Magufuli akizungumza na wananchi na wanachama wa CCM waliomlaki kwa shauku alipowasili Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba, Dar es Salaam, leo
 Watu wa kila rika walimsikiliza Dk. Magufuli kwa makini sana
Baadaye Dk. Magufuli alipanda jukwaa la Kikundi cha TOT na kucharaza tumba, kuonyesha umahiri wake pia  katika fani ya burudani.

No comments:

Post a Comment

 
Copyright © 2016 Shamakala
Designed by Switch International | SHAMAKALA 360
    Twitter Facebook Google Plus Vimeo Videosmall Flickr YouTube