BREAKING

Friday 19 August 2016

HASSAN KESSY HURU KUCHEZEA YANGA LIGI KUU BARA


Shirikisho la soka Tanzania TFF limethibitisha kuwa beki mpya wa Yanga, Hassan Ramadhani Kessy atacheza Ligi Kuu ya Tanzania Bara msimu huu mpya ambao Ligi hiyo inatarajia kuanza kutimua vumbi kesho.

Akizungumza na channel ten Afisa Habari wa TFF Alfredy Lucas amesema Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) iliyoketi jana chini ya Mwenyekiti wake, Wakili Richard Sinamtwa imemtaka beki huyo kuilipa klabu ya zamani, Simba kwa kuvunja Mkataba.

Lucas amesem kuwa  Kamati imejiridhisha kwamba Kessy alivunja Mkataba na Simba kinyume cha utaratibu hivyo anapaswa kuilipa Simba.

Kessy alisajiliwa na Simba misimu miwili iliyopita kutoka Mtibwa Sugar ya Morogoro kwa Mkataba wa miaka miwili akilipwa 


No comments:

Post a Comment

 
Copyright © 2016 Shamakala
Designed by Switch International | SHAMAKALA 360
    Twitter Facebook Google Plus Vimeo Videosmall Flickr YouTube