BREAKING

Friday 19 August 2016

LIGI KUU TANZANIA B ARA SIMBA KUWAVAA NDANDA FC KESHO







Ligi Kuu ya Tanzania Bara inatarajiwa kuanza kutimua vumbi kwa viwanja vitano kuwaka moto huku mchezo wa kusisimua ukizikutanisha timu ya Simba na Ndanda FC wanakuchele kutoka Mtwara kwenye uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam.

Mkurugenzi wa Bodi ya Ligi Tanzania Boniface Wambura amesema kuwa maandalizi yake yamekmilika na sasa ni soka kupigwa viwanjani.

Wakati huo huo Wambura amezungumzia utatuzi wa changamoto ya Ligi wakileta mabadiliko kadhaa toifauti na msimu ulioptya ikiwepo kurekebisha ratiba pamoja na kuzingatia kuanza mapema kwa ligi hiyo.


No comments:

Post a Comment

 
Copyright © 2016 Shamakala
Designed by Switch International | SHAMAKALA 360
    Twitter Facebook Google Plus Vimeo Videosmall Flickr YouTube