BREAKING
ROSE MHANDO :MSAMA NI BABA KWANGU ACHENI KUNIGOMBISHA NAYE.   UPANDIKIZAJI WA MENO BANDIA KWA NJIA YA KISASA MUHIMBILI MLOGANZILA 45 KUNUFAIKA NA HUDUMA    UTEKAJI WA WATOTO MKUU WA MKOA WA MBEYA JUMA HOMERA AWATAKA WANAFUNZI WA HOLY LAND PRE- & PRIMARY SCHOOL KUKATAA LIFTI   MSAMA ANG'AKA WAIMBAJI WA IN JILI KUPOTOKA MAADILI   DCEA YAFANIKIWA OPERESHENI DAWA ZA KULEVYA YAKAMATA JAHAZI DAWA ZA KULEVYA   NAIBU WAZIRI MKUU AKARIPIA UZEMBE TANESCO   MHE. RAIS DKT.SAMIA SULUHU HASSAN AFANYA MAZUNGUMZA NA RAIS WA CHINA MHE. XI JINPING    MHE. RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKUTANA NA WATANZANIA WANAOISHI CHINA..   RAIS SAMIA NCHINI KENYA-ASHIRIKI MKUTANO WA WAKUU WA NCHI   RAIS SAMIA ASHIRIKI MKUTANO WA WAKUU WA NCHI ZA AFRIKA-KENYA    Blogger Tips and Tricks & Blogger Templates

Wednesday, April 09, 2025

Thursday, 5 May 2016

SNURA AKUBALI YAISHE,AJITETEA KUFUNGIWA WIMBO WAKE..

Mwimbaji wa nyimbo za Mduara nchini Snura Mushi ameomba radhi kwa umma wa Watanzania kwa kosa la kutengeneza, kuzindua na kuweka mitandaoni, video ambayo imefungiwa jana na Serikali kupitia Wizara ya Habari, utamaduni, sanaa na Michezo kutokana na ukiukwaji wa maadili ndani ya wimbo huo na video yake.

Akizungumza na waandishi wa habari, Jijini Dar es Salaam Snura ameomba radhi kwa mashabiki wake na watanzania wote akisema wakati wa utayarishaji wa video hiyo hakutambua kama ingepokewa tofauti, hivyo atafanya jitihada za kuhakikisha anauboresha zaidi.

Naye meneja wake alizungumzia utetezi huo akiomba watanzania kuwasamehe yeye pamoja na msanii huyo, kwani sasa wamejifunza ikiwepo kupata usajili wa BASATA utakaomwezesha kufanya kazi zake kwa huru.

No comments:

Post a Comment

 
Copyright © 2016 Shamakala
Designed by Switch International | SHAMAKALA 360
    Twitter Facebook Google Plus Vimeo Videosmall Flickr YouTube