BREAKING

Monday 23 May 2016

BARCELONA YATWAA KOMBE LA MFALME...



Klabu ya soka ya Barcelona imefanikiwa imetwaa kombe la Mfalme Hispania, maarufu kama Copa del Rey katika Fainali ya 114.

Wachezaji nyota Jordi Abba na Neymar ndio walio iwezesha Barcelona kutwaa taji hilo katika Fainali iliyopigwa Jijini Madrid kwenye Uwanja wa Atletico Madrid wa Estadio Vicente Calderon.

Hii sasa ni  Fainali ya 37 ya kombe la kwa Barcelona huku Barca wakishinda mara ya 28 sasa, kombe hilo pia  Barca walitwaa Kombe hilo kwa kuifunga Athletic Bilbao 3-1.

No comments:

Post a Comment

 
Copyright © 2016 Shamakala
Designed by Switch International | SHAMAKALA 360
    Twitter Facebook Google Plus Vimeo Videosmall Flickr YouTube