BREAKING

Sunday 29 May 2016

MABINGWA MADRID WATUA NYUMBANI NA KUPATA MAPOKEZI MAKUBWA



Mabingwa wa Uefa Champions League kwa mara ya 11, Real Madrid wamerejea kwao Hispania na kupokelewa kwa shangwe ile kinoma.

Madrid wamerejea katika jiji la Madrid saa chache baada ya kubeba ubingwa huo kwa mikwaju 5-3 ya penalti dhidi ya wapinzani wao wakubwa Atletico Madrid.

Mechi ya fainali ilichezwa katika jiji la Milan, kwenye Uwanja maarufu wa San Siro na mechi hiyo kutazamwa na zaidi ya watu milioni 200 duniani kote.






















29 May 2016
Next
This is the most recent post.
Previous

No comments:

Post a Comment

 
Copyright © 2016 Shamakala
Designed by Switch International | SHAMAKALA 360
    Twitter Facebook Google Plus Vimeo Videosmall Flickr YouTube