BREAKING

Tuesday 6 September 2016

NHC YAVAMIA WADAIWA SUGU UPANGA NA KUWATOLEA VYOMBO NJE

1
Wafanyakazi wa kampuni ya Udalali ya Mzizima Auction Mart wakitoa vyombo vya Winfrida Nkungu Mpangaji wa shirika la nyumba NHC nyumba namba 838 Mtaa wa Senegal Upanga jijini Dar es salaam kutokana na kudaiwagharama ya Pango miezi tisa kiasi cha shilingi milioni mbili na laki tatu 2,300,000. Shirika la Numba la Taifa NHC liko kwenye kampeni kubwa ya kukusanya madeni yake maeneo mbalimbali nchini.
2
Wafanyakazi wa kampuni ya Udalali ya Mzizima Auction Mart wakikusanya nguo na vitu mbalimbali kwa ajili ya kutoa kwenye nyumba hiyo.
3 4
Wakiewndelea kutoa vyombo nje.
5
Vyombo vikiwa nje baada ya kampuni hiyo kukamilisha kazi ya kutoa vyombo hivyo nje.

No comments:

Post a Comment

 
Copyright © 2016 Shamakala
Designed by Switch International | SHAMAKALA 360
    Twitter Facebook Google Plus Vimeo Videosmall Flickr YouTube