BREAKING

Wednesday 21 September 2016

UTAMU WA XHAKA WA ARSENAL NA PEREZ WAENDELEA KUING'ARISHA ARSENAL IKIUA 4-0 KOMBE LA LIGI LA ENGLAND



Lucas Perez akipongezwa na wachezaji wenzake wa Arsenal baada ya kufunga bao la tatu dakika ya 71 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Nottingham Forest kwenye mchezo wa Kombe la Ligi England Uwanja wa City. Perez alifunga bao lingine dakika ya 60, wakati mabao mengine ya Arsenal yamefungwa na Granit Xhaka dakika ya 23 na Alex Oxlade-Chamberlain dakika ya 93 

The Spaniard bagged the first two goals of his Gunners career as the away team ran out comfortable winners

Granit Xhaka (centre) opened the scoring with a 35-yard thunderbolt that took a slight deflection off Chris Cohen
Granit Xhaka akifungua akaunti ya mabao katika ushindi wa mabao 4-0 kwa shuti kali mita 35.

The Swiss midfielder was mobbed by his team-mates after breaking the deadlock in the EFL Cup third round clash

English winger Alex Oxlade-Chamberlain finished off a lovely team move to complete the rout in injury time


No comments:

Post a Comment

 
Copyright © 2016 Shamakala
Designed by Switch International | SHAMAKALA 360
    Twitter Facebook Google Plus Vimeo Videosmall Flickr YouTube