BREAKING
ROSE MHANDO :MSAMA NI BABA KWANGU ACHENI KUNIGOMBISHA NAYE.   UPANDIKIZAJI WA MENO BANDIA KWA NJIA YA KISASA MUHIMBILI MLOGANZILA 45 KUNUFAIKA NA HUDUMA    UTEKAJI WA WATOTO MKUU WA MKOA WA MBEYA JUMA HOMERA AWATAKA WANAFUNZI WA HOLY LAND PRE- & PRIMARY SCHOOL KUKATAA LIFTI   MSAMA ANG'AKA WAIMBAJI WA IN JILI KUPOTOKA MAADILI   DCEA YAFANIKIWA OPERESHENI DAWA ZA KULEVYA YAKAMATA JAHAZI DAWA ZA KULEVYA   NAIBU WAZIRI MKUU AKARIPIA UZEMBE TANESCO   MHE. RAIS DKT.SAMIA SULUHU HASSAN AFANYA MAZUNGUMZA NA RAIS WA CHINA MHE. XI JINPING    MHE. RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKUTANA NA WATANZANIA WANAOISHI CHINA..   RAIS SAMIA NCHINI KENYA-ASHIRIKI MKUTANO WA WAKUU WA NCHI   RAIS SAMIA ASHIRIKI MKUTANO WA WAKUU WA NCHI ZA AFRIKA-KENYA    Blogger Tips and Tricks & Blogger Templates

Tuesday, April 08, 2025

Wednesday, 21 September 2016

UTAMU WA XHAKA WA ARSENAL NA PEREZ WAENDELEA KUING'ARISHA ARSENAL IKIUA 4-0 KOMBE LA LIGI LA ENGLAND



Lucas Perez akipongezwa na wachezaji wenzake wa Arsenal baada ya kufunga bao la tatu dakika ya 71 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Nottingham Forest kwenye mchezo wa Kombe la Ligi England Uwanja wa City. Perez alifunga bao lingine dakika ya 60, wakati mabao mengine ya Arsenal yamefungwa na Granit Xhaka dakika ya 23 na Alex Oxlade-Chamberlain dakika ya 93 

The Spaniard bagged the first two goals of his Gunners career as the away team ran out comfortable winners

Granit Xhaka (centre) opened the scoring with a 35-yard thunderbolt that took a slight deflection off Chris Cohen
Granit Xhaka akifungua akaunti ya mabao katika ushindi wa mabao 4-0 kwa shuti kali mita 35.

The Swiss midfielder was mobbed by his team-mates after breaking the deadlock in the EFL Cup third round clash

English winger Alex Oxlade-Chamberlain finished off a lovely team move to complete the rout in injury time


No comments:

Post a Comment

 
Copyright © 2016 Shamakala
Designed by Switch International | SHAMAKALA 360
    Twitter Facebook Google Plus Vimeo Videosmall Flickr YouTube